China yajiandaa na vita dhidi ya Marekani

China yajiandaa na vita dhidi ya Marekani

Wafanyabiashara biashara hao wawili. ..kamwe hawawezi kupigana. ..fake news. .
 
Mchina hana kitu weee, China kivita mbele ya U.S.A ni takataka... narudia takataka..!! If you know military powers in details utanielewa..!!
Inawezekana unachokisema kina ukweli ila nlichokiona kwako Inatakiwa upate muda wa kusoma sana... Marekani wanafanya exhibition sana tofauti na china unalijua hilo... Sidhani kama ww unaijua strength ya US zaidi ya jinping aliyepay attention ya vita... Ingekuwa china ni kama afghanistan ingeshapigwa kitambo sana au hata kwa tukio la kuikamata ile sub marine juzi kati mmarekani angeshashusha navy seal beijing... Uchumi unakuwa alongside security advancement blaza
 
China ameshapeleka makombora yake karibu na mpaka na russia,inayompa angle ya makombora kupiga marekani ,na makombora hayo yamelengwa marekani.

Marekani anatumia software nyingi za mchina katika weapons system zake,
hivi karibuni destroyer mpya ya marekani USS ZUMWALT ilinock kwa sababu ya software za mchina,na pia destroyer mpya kabisa ya UK nayo ika knock sababu wanatumia componet za mchina sasa inasemekana ni hujuma mchina kawafanyia
Mkuu hv kati ya China na US nani yuko mbele kwenye military tech? tuwe wakweli ktk hili vita si vyakushabikia lakini mchina hawezi narudia tena hawezi na US wala hajawai kumfikilia mchina kama threat kwake kwa upande wa nguvu za kijeshi ni Russia tu china ni threat kwa US kwa upande wa uchumi tu na china hawezi kuchezea Opportunity ya uwezekano wa kuwa super power kwa uchumi dunian ifikapo 2050 kwa kujiingiza kwenye vita kwa sasa

$598.5 billion US anaspend kwenye military projects kila mwaka
na bajeti ya mwaka huu inakadiriwa kuwa $773.5 billion. huku 30% ikielekezwa kwenye mambo ya millitary research na military technology

huku china ni $146 billion
 
Wasipigane ajira hazitakuwepo maana madhara ya vita kubwa kama hizo ni kupotez ajira, kuharibu miundo mbinu na vifo, kumbuka vita ikiisha wataanza kujiimarisha kiuchumi na kuja tena kwetu kudokoa malighali na hakutakua na Marshall plan, Xi jinping plan, wala Trump plan macho yote yatakua how to underdevelop Africa kwa kuiba resources, Afrika italazimika kubana matumizi maana hakutakua na misaada ng'o
Lakini nasi tukijipanga vyema Afrika yaweza kuwa fursa..
.kufa kufaana mkuu.
 
US hana uwezo wa kumpiga Mchina.....angekuwa na uwezo wa kumpiga asingeruhusu Mchina akashindana nae hata kwenye maswala ya uchumi.....Hicho kinachoonekana kama nguvu ya kiuchumi ya China ni ishara sawa sawa hata katika Vita.........Mim nadhan US anaiogopa China zaid kuliko hata Russia......kama mnadhan ni mchezo hyo Trump aanze mashambulizi kwa China....aone kitakachomkuta......Kwasasa naamin China wako vzuri sanaa kuliko US....US wanamuogopa Iran....Korea ya Kaskazin na Russia....hizo nchi hata avimbishane nazo kwa namna gan bado hatakuwa na uwezo wa kuzipga na wala hatajaribu ......kwasabab atakapojaribu ndio ataona shuguli yake.....Iraq tuu iliwasumbua sanaa .....sasa kuijaribu China si kujiangamiza.....kumbukeni Iraq hawakuwa na Nuclear......lakin walisumbua sanaa US ....sasa hawa wengne Nuclear kwao ndio home.......US hawez kumjaribu mtu mwenye Nuclear maana anaijua shughuli yake watamkuta US..maana vita zote US kapigana hajawahi kupigwa kwake....atakapowajaribu hawa jamaa (China,Russia, Iran na North Korea) atauona moto wa vita mpaka kwenye ardhi yake sio ardhi ya ugenini na ikishafika hapo .....US ataomba poooooo
 
mpambanaji huwa hajiandai.

wachina hawana akili wamechokonolewa kidogo tu mara hao wameanza kubeba makombola.
na hapo wenyewe hawajui kwamba wanajichoresha.
 
China ameshapeleka makombora yake karibu na mpaka na russia,inayompa angle ya makombora kupiga marekani ,na makombora hayo yamelengwa marekani.

Marekani anatumia software nyingi za mchina katika weapons system zake,
hivi karibuni destroyer mpya ya marekani USS ZUMWALT ilinock kwa sababu ya software za mchina,na pia destroyer mpya kabisa ya UK nayo ika knock sababu wanatumia componet za mchina sasa inasemekana ni hujuma mchina kawafanyia
Acha uwongo duh father of technology copy china [emoji15]
 
Sikie
Jeshi la China limetangaza kuwa, kuendelea kuwa mbaya hali ya mambo kuhusiana na usalama wa bahari ya eneo, machafuko katika eneo la Asia na Bahari ya Pasifiki na kadhalika misimamo tata ya rais mpya wa Marekani, inalilazimu kujiandaa kuingia vita tarajiwa na Marekani kuliko wakati mwingine wowote.

Taarifa iliyotolewa na mtandao wa jeshi la China wa Army Daily imesema kuwa, kwa kuzingatia siasa na matamshi ya uhasama ambayo yamekuwa yakitolewa mara kwa mara na Rais Donald Trump wa Marekani, Beijing imeamua kujitayarisha kukabiliana kijeshi na nchi hiyo.

Ripoti hiyo ya jeshi la China imefafanua kuwa, msimamo wa Washington wa kuweka ngao ya makombora ya THAD nchini Korea Kusini, kuongeza idadi ya askari wake katika maeneo ya mashariki na kusini mwa bahari za Uchina na kadhalika kuanzisha mlingano mpya barani Asia, ni siasa ambazo zinaweza kuwasha moto wa vita wakati wowote.

Hivi karibuni pia Rais Xi Jinping wa China na ambaye ndiye amiri jeshi mkuu wa majeshi ya nchi hiyo alinukuliwa akisema kuwa, askari wa taifa hilo lazima wajiimarishe kuliko wakati mwingine wowote ule, kauli ambayo imetafsiriwa na weledi wa mambo kuwa ni maandalizi ya kijeshi kwa ajili ya kuingia vitani na Marekani.

Katika kampeni za uchaguzi wa Marekani kwa mara kadhaa Trump alitoa matamshi ya uhasama dhidi ya Uchina kiasi cha kuifanya Beijing kumtaja rais huyo mpya wa Marekani kuwa mwenye nia mbaya dhidi ya China.

Makomando wa jeshi la Uchina wakiwa katika maandalizi

source: Radio tehran
Acheni kubishia uzoefu na kukariri...
Marekani ni mtoto kwa China..

Msichukulie marekani kujipendekeza ovyo ovyo kwenye vita huko masharki ya kati,Syria na kwingineko ndio ananguvu..
Ila tatizo anakiherehere pia sifa..

Marekani hana silaha nzito kama za uchina..
Ila hajaamua uchina kuzitumia hizo silaha yani hana kihelehele kama cha marekani.

China ina satellite ambayo ipo katika./juu ya ardhi yenye uwezo mkubwa...

Pia ni nchi yenye kituo pekee cha kijeshi angani so usijalibu kulinganisha na landbase za marekani..

China wana uwezo mkubwa wa cytology so kudecrypt na encryptions na uwezo wa kujua keys zilizotumika ni mkubwa....

China wanauza software nyingi za kijeshi na device zake kwa nchi nyingi ikiwemo marekani so hata kuzitengua hawezi shindwa..

N.K.
Inshort wanauwezo mkubwa hatari wat wa uchina...

Tumieni elimu zenu vizuri,hasa watu wa IT,computer science,cytologist, n.k

Ahsanteni ila usipopenda pita kushoto.
Seeing is believing.
 
vita sio show game kwamba una base nyingi ndo hupigwi,mchina amtwanga mmarekani bila tabu yeyote,marekani anajivunia navy group,lakini mchina anauwezo wa kuzamisha hizo aircraft carrier ndani ya siku moja ,kwa kutumia antiship yake ambayo ni intercontinental,

na ikifikia point of no return,mchina anaweza kuzitungua satelite za mmarekani na kusababisha mtafutano mkubwa kwani GPS haitafanya kazi na silaha nyingi kuwa useless,
hapo bado hajafyatua nuclear,

hakuna mshindi hapo wote watapoteza tu
Unafikiri USA atapigana na china kama alivyopigana na Iraq people superpower sio lele mama
 
US hana uwezo wa kumpiga Mchina.....angekuwa na uwezo wa kumpiga asingeruhusu Mchina akashindana nae hata kwenye maswala ya uchumi.....Hicho kinachoonekana kama nguvu ya kiuchumi ya China ni ishara sawa sawa hata katika Vita.........Mim nadhan US anaiogopa China zaid kuliko hata Russia......kama mnadhan ni mchezo hyo Trump aanze mashambulizi kwa China....aone kitakachomkuta......Kwasasa naamin China wako vzuri sanaa kuliko US....US wanamuogopa Iran....Korea ya Kaskazin na Russia....hizo nchi hata avimbishane nazo kwa namna gan bado hatakuwa na uwezo wa kuzipga na wala hatajaribu ......kwasabab atakapojaribu ndio ataona shuguli yake.....Iraq tuu iliwasumbua sanaa .....sasa kuijaribu China si kujiangamiza.....kumbukeni Iraq hawakuwa na Nuclear......lakin walisumbua sanaa US ....sasa hawa wengne Nuclear kwao ndio home.......US hawez kumjaribu mtu mwenye Nuclear maana anaijua shughuli yake watamkuta US..maana vita zote US kapigana hajawahi kupigwa kwake....atakapowajaribu hawa jamaa (China,Russia, Iran na North Korea) atauona moto wa vita mpaka kwenye ardhi yake sio ardhi ya ugenini na ikishafika hapo .....US ataomba poooooo
Iraq kumbuka huyo sio total war
Mkuu hv kati ya China na US nani yuko mbele kwenye military tech? tuwe wakweli ktk hili vita si vyakushabikia lakini mchina hawezi narudia tena hawezi na US wala hajawai kumfikilia mchina kama threat kwake kwa upande wa nguvu za kijeshi ni Russia tu china ni threat kwa US kwa upande wa uchumi tu na china hawezi kuchezea Opportunity ya uwezekano wa kuwa super power kwa uchumi dunian ifikapo 2050 kwa kujiingiza kwenye vita kwa sasa

$598.5 billion US anaspend kwenye military projects kila mwaka
na bajeti ya mwaka huu inakadiriwa kuwa $773.5 billion. huku 30% ikielekezwa kwenye mambo ya millitary research na military technology

huku china ni $146 billion
 
US hana uwezo wa kumpiga Mchina.....angekuwa na uwezo wa kumpiga asingeruhusu Mchina akashindana nae hata kwenye maswala ya uchumi.....Hicho kinachoonekana kama nguvu ya kiuchumi ya China ni ishara sawa sawa hata katika Vita.........Mim nadhan US anaiogopa China zaid kuliko hata Russia......kama mnadhan ni mchezo hyo Trump aanze mashambulizi kwa China....aone kitakachomkuta......Kwasasa naamin China wako vzuri sanaa kuliko US....US wanamuogopa Iran....Korea ya Kaskazin na Russia....hizo nchi hata avimbishane nazo kwa namna gan bado hatakuwa na uwezo wa kuzipga na wala hatajaribu ......kwasabab atakapojaribu ndio ataona shuguli yake.....Iraq tuu iliwasumbua sanaa .....sasa kuijaribu China si kujiangamiza.....kumbukeni Iraq hawakuwa na Nuclear......lakin walisumbua sanaa US ....sasa hawa wengne Nuclear kwao ndio home.......US hawez kumjaribu mtu mwenye Nuclear maana anaijua shughuli yake watamkuta US..maana vita zote US kapigana hajawahi kupigwa kwake....atakapowajaribu hawa jamaa (China,Russia, Iran na North Korea) atauona moto wa vita mpaka kwenye ardhi yake sio ardhi ya ugenini na ikishafika hapo .....US ataomba poooooo
Nani aliyekwambia nguvu ya uchumi ndio nguvu ya kivita ni nani? Russia ni nchi ya 12 kwa uchumi mkubwa duniani lakini ndo nchi inayomfanya US nchi ya kwanza duniani kwa uchumi asilale kwa amani kila anachokifanya kwenye millitary ni kwa ajili ya Russia so ukiangalia GDP wamepishana sana

US GDP 53,041.98 $
Russia GDP 14,611.70 $
Tofauti ni kubwa sana hapo haya Korea kaskazini ni moja ya nchi ambayo inahesabiwa ni kundi la nchi maskini dunian lakini inamfanya Korea kusuni nchi Tajiri nchi ambayo hata Russia ipo chini yake kiuchumi wanailipa USA 870.6 million usd kila mwaka kwa ajili ya ulinzi kisa tu ni kumuogopa chizi
Kim Jong-un
North Korea, Supreme leader so uchumi hauna mahusiano ya moja kwa moja na nguvu za kijeshi au uwezo wa vita
 
Ndo watu wanachanganya hapo...wanafikiria vita ya iraq au afghanstar ni sawa na vita dhidi ya russie china n.k hata hivo hakuna vita ya mtu mmoja kama ilivokuwa WW1&2 ndo kinachotokea
 
Tehran duh china na marekani haziwezi pigana
China na Urusi zinafurahia kuwepo kwa Trump [emoji448] kwa sababu ni raisi kumuongoza kuliko yule mama Clinton kama angeingia. Sera za China na Urusi kwa sasa ni kufanya biashara na nchi kama za Africa [emoji288] ambapo trump [emoji448] anataka biashara ziludi kwao kwa Sera izo. Trump [emoji448] kashachemka tayari
 
Sidhani kama china yuko tayali kwa vita kwa kipindi hiki yeye anachopigania ni kuwa super power upande wa uchumi kwani vita kati ya US na China inaweza kuharibu mipango ya china na kuirudisha nyuma china kwa miaka zaidi ya 50 kwani kwa upande ule mtu ambae atapigana upande wa china ni Korea kaskazini na Philippines lakini Japan,korea ya kusini, Thailand Australia na NATO watakuwa upande wa US china iran russia bt kwa Russia si mtu wa kumtegemea sana kwa linapokuja swala la maslai wazungu huwa wanaungana na kuwa pamoja nadhani mnajua mahusiano ya russia na Iraq ,libya yalivyokuwa ?
Kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom