SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,380
Hakuna component yoyote ya kijeshi marekani anatumia kutoka china,huo ni uwongo wa mchana kweupe kama tulivyokuzoea.Tuambie ni components gani hizo marekani aliagiza kutoka china mbazo zipo kweNYE f-35?,,zitaje na utume na link ilikozitoa.China kila siku anakesha kucopy military components za US.Wachina hadi ndege za abiria kama Boeing walishaanza ku copy hadi kuna spy walishakamatwa na sasa wapo gerezani US,wote walikiri kutumwa na china kuiba Blue print za F-35 na ndege za abiria za kampuni ya boeing.Wachina hawajaishia hapo,pia wapo kwenye mchakato wa ku tafuta blue print za B-2 bomber ili wakatengeneza ya kwao,Hapa wanapata ugumu cos hizi ndege zilitengenezwa kwa usiri mkuwa sana miaka ya 1980s.Wenyewe hadi sasa bado wana import ndege kutoka russia,ni juzi tuu hapa wamenunu SU-35 iwape backup.Kama wanatech ya had kumuuzia US components,why wanashindwa kuunda ndege zao bora hadi mpaka sasa taifa kubwa kama china wana inport ma export version ya ndege kutoka russia kwa ajili ya kutumia wao kijeshi?..NI kilaza peke yake design yako atakaye amini maneno yako...UONGO MTUPU!!!Mnaoniquote sorry nashindwa kuwajibu,hii version ya jf inanipa tabu sana kumquote mtu natumia masaa matatu,so labda ntakuwa natupia vijibu kwa style ya ambush,maana sijui wap wamepeleka wapi hawa jf.
Yes marekani wana bajeti kubwa na hii inatokana na kuwa na base 800 nje ambazo ni useless,pesa zinaishia kwenye running cost,kama chakula,mafuta,spare na mabomu ya kuwarushia waarabu,mishahara na posho etc,
china hana base nyingi hivyo nje,kwahiyo bajeti yake inatumika zaidi kwenye weapons developments kuliko marekani.
Hata kama marekani wako juu kitech lakini hajamwacha china mbali na haina impact,
marekani wanategemea baadhi ya components za weapons system kadhaa mfano F-35,zumwalt etc toka china,and that speak a lot kuhusu maendeleo ya kitechnolojia ya mchina