China yajiandaa na vita dhidi ya Marekani

China yajiandaa na vita dhidi ya Marekani

Sidhani kama US anaweza kuingia kwenye vita ya silaha na nchi yoyote yenye nuke. Labda ya maneno na biashara.
 
Sikie

Acheni kubishia uzoefu na kukariri...
Marekani ni mtoto kwa China..

Msichukulie marekani kujipendekeza ovyo ovyo kwenye vita huko masharki ya kati,Syria na kwingineko ndio ananguvu..
Ila tatizo anakiherehere pia sifa..

Marekani hana silaha nzito kama za uchina..
Ila hajaamua uchina kuzitumia hizo silaha yani hana kihelehele kama cha marekani.

China ina satellite ambayo ipo katika./juu ya ardhi yenye uwezo mkubwa...

Pia ni nchi yenye kituo pekee cha kijeshi angani so usijalibu kulinganisha na landbase za marekani..

China wana uwezo mkubwa wa cytology so kudecrypt na encryptions na uwezo wa kujua keys zilizotumika ni mkubwa....

China wanauza software nyingi za kijeshi na device zake kwa nchi nyingi ikiwemo marekani so hata kuzitengua hawezi shindwa..

N.K.
Inshort wanauwezo mkubwa hatari wat wa uchina...

Tumieni elimu zenu vizuri,hasa watu wa IT,computer science,cytologist, n.k

Ahsanteni ila usipopenda pita kushoto.
Seeing is believing.
Iyo kununua izo software ni kutaka kuzijua na kufanyia uchunguzi zinafanyaje kazi. Americans wana spy ya hatari sana. Project kubwa zote Marekani kafanya mchina anakuja kukopi.
Mchina na project za Power Bank ndio project zao izo
 
Mnaoniquote sorry nashindwa kuwajibu,hii version ya jf inanipa tabu sana kumquote mtu natumia masaa matatu,so labda ntakuwa natupia vijibu kwa style ya ambush,maana sijui wap wamepeleka wapi hawa jf.
Yes marekani wana bajeti kubwa na hii inatokana na kuwa na base 800 nje ambazo ni useless,pesa zinaishia kwenye running cost,kama chakula,mafuta,spare na mabomu ya kuwarushia waarabu,mishahara na posho etc,
china hana base nyingi hivyo nje,kwahiyo bajeti yake inatumika zaidi kwenye weapons developments kuliko marekani.
Hata kama marekani wako juu kitech lakini hajamwacha china mbali na haina impact,
marekani wanategemea baadhi ya components za weapons system kadhaa mfano F-35,zumwalt etc toka china,and that speak a lot kuhusu maendeleo ya kitechnolojia ya mchina
 
Iyo kununua izo software ni kutaka kuzijua na kufanyia uchunguzi zinafanyaje kazi. Americans wana spy ya hatari sana. Project kubwa zote Marekani kafanya mchina anakuja kukopi.
Mchina na project za Power Bank ndio project zao izo
Bro. Tulia tu ww hujui lolote..
Tupo kimya ila mengi tunayajua...

Chinese wana professional spies ila hawajioneshi mkuu.

Good luck
 
Mnaoniquote sorry nashindwa kuwajibu,hii version ya jf inanipa tabu sana kumquote mtu natumia masaa matatu,so labda ntakuwa natupia vijibu kwa style ya ambush,maana sijui wap wamepeleka wapi hawa jf.
Yes marekani wana bajeti kubwa na hii inatokana na kuwa na base 800 nje ambazo ni useless,pesa zinaishia kwenye running cost,kama chakula,mafuta,spare na mabomu ya kuwarushia waarabu,mishahara na posho etc,
china hana base nyingi hivyo nje,kwahiyo bajeti yake inatumika zaidi kwenye weapons developments kuliko marekani.
Hata kama marekani wako juu kitech lakini hajamwacha china mbali na haina impact,
marekani wanategemea baadhi ya components za weapons system kadhaa mfano F-35,zumwalt etc toka china,and that speak a lot kuhusu maendeleo ya kitechnolojia ya mchina
Hakuna mtu mwizi wa Technology duniani kama mchina mchina yeye anasubili wenzie wapoteze fedha na muda kwenye projects na research yeye anaiba tu na ndo maana 90% ya product kutoka china ni copy & paste ya product za ulaya au US

Machi mwaka jana hackers wa kutoka China waliendelea kufanya mashambulizi ya kimtandao dhidi ya serikali ya Marekani na mitandao binafsi, kwa mujibu wa U.S.mkuu wa Cyber Command Mike Rogers. China imekuwa ina husishwa na mashirika ya upelelezi ya U.S. kwa kufanya mashambulizi kwa lengo la kuiba taarifa na kuchora ramani katika mitandao muhimu ya kompyuta kwa ajili ya mashambulizi ya baadaye katika mgogoro au vita. hii inaonyesha china alivyomwizi kwa taasisi na mashirika ya tech ya US

hakuna Top sectet project kama project za kijeshi na makampuni ya Aeurospace ,Defence na Tech uwa hawatoi kitu kinachoitwa Outsource projects hata siku moja kamapuni inatengeneza yenyewe kila kitu kuanzia Iron Bolts mpaka engine sio kama mashirika ya kiraia kama airbus au boeing wao wana outsource kazi zao leo kampuni best katika kutengeneza engine za ndege dunian ni Rolls - Royce ambapo ndege best kwa sasa ya Boeing 787 Dreamliner na Airbus A380 zote zinatengenezewa engine zake na Rolls -Royce ya nchini England au Uk lakini kampuni zote kubwa za Aerospace na Def wanateneza kila kitu wenyewe kutokana na project zao kuwa ni Top secret na mambo ya kijeshi huwa ni siri sana hakuna nchi dunian inayopenda uwezo wake wa kijeshi ujulikane zimebaki ni kutabiri tu lakini hakuna nchi dunian inayojulikana tena kwa data makini juu ya uwezo wake wote wa nguvu za kijeshi
kampuni zote kubwa dunian za mambo ya kutengeneza vifaa vya kijeshi na mambo ya Tech za kjeshi kwenye top 5 dunian hakuna hata moja ipo china

1 Lockheed Martin Corp.
2 Northrop Grumman Corp.
3 Raytheon Co.
4 Boeing Co.
5 General Dynamics Corp

aliekuwa engneer wa Lookheed martin na mmoja wa waliokuwa kwenye Develop ya ndege hii Mr Su Bin mmarekani mwenye asili ya china aliweza kuuza siri na Tech ya ndege ya F 35 kwa China na wachina wakatengneza yao na inajulikana kama Shenyang J -31 ambayo ni copy & paste ya F 35 bwana Su Bin alikamatwa lakini alikuwa ameshatuma file zote za kutengeneza ndege hyo na alihukumiwa kifugo cha miaka 5 jela sasa hyo F 35 ya wapi unayoizungumzia?

Katika upande wa Technology mchina hana heshima hata kidogo leo ukisema bidhaa za china kitu kinachokuja kichwani ni fake product china hana heshima kabisa kilichomfanya mchina apate heshima ni upande wa ujenzi hasa wa maghorofa na madaraja hapo sawa leo japani wanaheshika sana upande wa technology kuliko china na pia 80% ya viwanda vilivyo china ni uwekezaji wa nchi za ulaya , US na japani kwa kukimbia gharama za uendeshaji nchini kwao tofauti na china
 
izzo ,sasa ndugu mbona umetaja makampuni ya magharibi peke yake wakati unajuwa wazi kuwa hayo huuza silaha kwa washirika peke yao?,
russia kuna kampuni nyingi tu za silaha,
china pia yako makampuni makubwa tu,
ninaposema marekani wanatumia software za mchina sio kwamba natania,just google,au mpaka nikupe keywords?,
google neno USS ZUMWALT and china software
 
China US zimepakana, wengine mnadhani zipo mbalimbali, Marekani hataki vita inayogusa Network na makini mengine RAIA waoga shida siuliona wanaandamana
 
Sikie

Acheni kubishia uzoefu na kukariri...
Marekani ni mtoto kwa China..

Msichukulie marekani kujipendekeza ovyo ovyo kwenye vita huko masharki ya kati,Syria na kwingineko ndio ananguvu..
Ila tatizo anakiherehere pia sifa..

Marekani hana silaha nzito kama za uchina..
Ila hajaamua uchina kuzitumia hizo silaha yani hana kihelehele kama cha marekani.

China ina satellite ambayo ipo katika./juu ya ardhi yenye uwezo mkubwa...

Pia ni nchi yenye kituo pekee cha kijeshi angani so usijalibu kulinganisha na landbase za marekani..

China wana uwezo mkubwa wa cytology so kudecrypt na encryptions na uwezo wa kujua keys zilizotumika ni mkubwa....

China wanauza software nyingi za kijeshi na device zake kwa nchi nyingi ikiwemo marekani so hata kuzitengua hawezi shindwa..

N.K.
Inshort wanauwezo mkubwa hatari wat wa uchina...

Tumieni elimu zenu vizuri,hasa watu wa IT,computer science,cytologist, n.k

Ahsanteni ila usipopenda pita kushoto.
Seeing is believing.
Hv China ina silaha gan nzto kuizid US?!
 
Most Expensive US-UK Warships Ever Built Lay “Dead In Water” Due ToChina“Chip Destroyer”
By: Sorcha Faal, and as reported to her Western Subscribers
An astonishing Ministry of Defense ( MoD) “urgent action” bulletin circulating in the Kremlin today is reporting that two of the West’s most expensive warships ever built now lay “dead in the water” after their propulsion systems were shut down by Chinese manufactured microchips that Federation military intelligence experts are still at a loss to explain why the United States and Britain even let these sabotaging electronic devices to have been used by their navies in the first place.[Note:Some words and/or phrases appearing in quotes in this report are English language approximations of Russian words/phrases having no exact counterpart.]
USS Zumwalt, the most expensiveUSwarship ever built.

According to this MoD bulletin, the United States Navy’s ( US Navy) $4.4 billion guided missile destroyer USS Zumwalt, while transversing the Panama Canal, suffered a catastrophic propulsion failure on 21 November; while just two days later, on 23 November, the British Royal Navy’s ( Royal Navy) $1.2 billionhi-tech destroyer HMS Duncan, likewise, suffered a catastrophic propulsion failure too while on NATO maneuvers.
To the commonality of both the United States and Britain’s most expensive warships ever built suffering such a catastrophic loss of propulsion, MoD experts in this bulletin point out, is directly due to what are called Chinese “chip destroyers”—which this bulletin explains are a type of microchip manufactured by the Chinese People's Liberation Army ( PLA) that shortly after President Obama took power in the United States the US Navy was forced to buy by the tens-of-thousands.

zzhh1.jpg
.


Hms Duncan also dead.

zzhh2.jpg
 
Most Expensive US-UK Warships Ever Built Lay “Dead In Water” Due ToChina“Chip Destroyer”
By: Sorcha Faal, and as reported to her Western Subscribers
An astonishing Ministry of Defense ( MoD) “urgent action” bulletin circulating in the Kremlin today is reporting that two of the West’s most expensive warships ever built now lay “dead in the water” after their propulsion systems were shut down by Chinese manufactured microchips that Federation military intelligence experts are still at a loss to explain why the United States and Britain even let these sabotaging electronic devices to have been used by their navies in the first place.[Note:Some words and/or phrases appearing in quotes in this report are English language approximations of Russian words/phrases having no exact counterpart.]
USS Zumwalt, the most expensiveUSwarship ever built.

According to this MoD bulletin, the United States Navy’s ( US Navy) $4.4 billion guided missile destroyer USS Zumwalt, while transversing the Panama Canal, suffered a catastrophic propulsion failure on 21 November; while just two days later, on 23 November, the British Royal Navy’s ( Royal Navy) $1.2 billionhi-tech destroyer HMS Duncan, likewise, suffered a catastrophic propulsion failure too while on NATO maneuvers.
To the commonality of both the United States and Britain’s most expensive warships ever built suffering such a catastrophic loss of propulsion, MoD experts in this bulletin point out, is directly due to what are called Chinese “chip destroyers”—which this bulletin explains are a type of microchip manufactured by the Chinese People's Liberation Army ( PLA) that shortly after President Obama took power in the United States the US Navy was forced to buy by the tens-of-thousands.

zzhh1.jpg
.


Hms Duncan also dead.

zzhh2.jpg
 
Most Expensive US-UK Warships Ever Built Lay “Dead In Water” Due ToChina“Chip Destroyer”
By: Sorcha Faal, and as reported to her Western Subscribers
An astonishing Ministry of Defense ( MoD) “urgent action” bulletin circulating in the Kremlin today is reporting that two of the West’s most expensive warships ever built now lay “dead in the water” after their propulsion systems were shut down by Chinese manufactured microchips that Federation military intelligence experts are still at a loss to explain why the United States and Britain even let these sabotaging electronic devices to have been used by their navies in the first place.[Note:Some words and/or phrases appearing in quotes in this report are English language approximations of Russian words/phrases having no exact counterpart.]
USS Zumwalt, the most expensiveUSwarship ever built.

According to this MoD bulletin, the United States Navy’s ( US Navy) $4.4 billion guided missile destroyer USS Zumwalt, while transversing the Panama Canal, suffered a catastrophic propulsion failure on 21 November; while just two days later, on 23 November, the British Royal Navy’s ( Royal Navy) $1.2 billionhi-tech destroyer HMS Duncan, likewise, suffered a catastrophic propulsion failure too while on NATO maneuvers.
To the commonality of both the United States and Britain’s most expensive warships ever built suffering such a catastrophic loss of propulsion, MoD experts in this bulletin point out, is directly due to what are called Chinese “chip destroyers”—which this bulletin explains are a type of microchip manufactured by the Chinese People's Liberation Army ( PLA) that shortly after President Obama took power in the United States the US Navy was forced to buy by the tens-of-thousands.

zzhh1.jpg
.


Hms Duncan also dead.

zzhh2.jpg
 
Back
Top Bottom