ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 11,016
- 9,722
Comedian ndio nimeandika, kwani wewe si ndio ulisema ni comedian , mwanasheria na raisWe umeandikaje kwenye reply
Comedian ndio nimeandika, kwani wewe si ndio ulisema ni comedian , mwanasheria na raisWe umeandikaje kwenye reply
"Sasa wewe unataka kujiunga NATO" nikuambie kitu kajifunze lughaMimi mkulima, ila sio comedian, sasa wewe unataka kujiunga NATO baada ya kichapo unataka kubadili mawazo, toka mwanzo ungekataa NATO nchi ingekuwa salama
Russia haikuomba msaada wa kijeshi china ,Wala china haikusemwa inatoa msaada wa kijeshichina hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine
Russia ametoa masaada wa kiraia Ukraine ,kutoa msaada wa sio dhambiKwani kutoa msaada ni dhambi ?
Pili vita ya Russia ni Raia wa Ukraine ?
Hata Putin mwenyewe anaweza kutoa msaada kwa raia wa Ukraine hio ndio inaitwa goodwill na Public Relations
Mwisho wa siku kila mtu anaangalia their long term benefit..., And its for the benefit of China to have a weaker America
Mkumbuke na kumwombea 'mtu wenu'Wako wapi wale wanaosema China na Mrusi lao moja mbele ya vikwazo vya magharibi? on top that jana balozi wa China nchini US ameithibitisha Marekani mapaka sasa bado china hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine.,
Lini nilikuambia Mimi nata kujiunga NATO umechanganyikiwa sio bure
Waliomba mkuu saana lakini pia wakaomba na kwenye yale makundi ya foreign fighters kutoka kongo na syria wale waarabu wa islamic state, walitangaza kuwapa donge nono wakasaidie hiyo wanayoiita operesheni maalumRussia haikuomba msaada wa kijeshi china ,Wala china haikusemwa inatoa msaada wa kijeshi
Wanamlia timing ya TaiwanMchina anabembeleza mahusiano yake na western yasiharibike maana anajua mrusi si size yake kiuchumi alishatoka huko kwenye uchumi wa kidola ambao urusi ndiyo wanaukumbatia. China anawaza namna gani atampita US so lazima akae nae vizuri naye bado hajasahau dafrau la huawei
Usichojua ni kuwa Jews wapo Russia na Ukraine, Rais wa Ukraine ni JewMchina amesema wazi kukemea Urusi sio solution kwahiyo kwake hakuna sababu ya kukemea Urusi, shida ni kwamba nchi za magharibi zina lazimisha kila nchi ikemee Urusi wakati kila nchi ina sera zake za mambo ya nje , ndio maana hata Israel wala hajakemea Urusi kanyamaza kimya mpaka yule Comedian jana alikuwa anahutubia bunge la Israel mpaka anataka kulia maana waisrael wamekula kimya wapo neutral
Hii ina fahamika, kwanini waisrael wametapakaa ,turudi kwenye hoja ya msingi Israel state msimamo wake wao neutral ndio maana PM anajaribu kuwapatanisha Urusi na Ukraine, kuhusu Syria iko wazi kuna mkataba wa Russia na Israel kupiga vile vikundi vyenye uhusiano na Iran, muhimu askari wa Urusi yuko salamaUsichojua ni kuwa Jews wapo Russia na Ukraine, Rais wa Ukraine ni Jew
Hujawahi jiuliza inakuwaje IAF inaingia Syria na kutoka bila kupigwa?
Zelensky alipotaka mazungumzo na Russia hakumaanisha kwamba ameshindwa vita, hayo maneno alisema kwa kuona kwamba vita haina maana lakini alisisitiza kama na Russia hawatafanikiwa kwenye mazungumzo yao basi Urusi itegemee vita vya tatu vya dunia.,Mkumbuke na kumwombea 'mtu wenu'View attachment 2160395
Wewe ndio comedian? Au msingi wa mazungumzo umeshasahau"Sasa wewe unataka kujiunga NATO" nikuambie kitu kajifunze lugha
Ipo sana ndugu yangu mara kadhaa Putini anaiomba China ikae na kusaidia upande wa Russia sambamba na kuwakodi foreign fighters walioko kule kongo na syriaKwani kuna mahali serikali ya Russia imeomba msaada wa kijeshi ? hizi propaganda za magharibi tuuu
NATO sisi Warusi ndio adui yetu , kama amekubali kuto jiunga nao basi hapo mazungumzo yanaweza kuwa na tija, viva PutinZelensky alipotaka mazungumzo na Russia hakumaanisha kwamba ameshindwa vita, hayo maneno alisema kwa kuona kwamba vita haina maana lakini alisisitiza kama na Russia hawatafanikiwa kwenye mazungumzo yao basi Urusi itegemee vita vya tatu vya dunia.,
Sio kweli wale ni volunteers kama wanao taka kuvolenteers Ukraine , kama msaada wa kibinadamu sawa au hujui Rusia ana wakimbizi zaidi ya laki 1? Ila msaada wa kijeshi kama Ukraine ndugu Putin hajawai kuombaIpo sana ndugu yangu mara kadhaa Putini anaiomba China ikae na kusaidia upande wa Russia sambamba na kuwakodi foreign fighters walioko kule kongo na syria
Mbona Urusi wanatoa msaada wa chakula na tiba kwa wananchi??Wako wapi wale wanaosema China na Mrusi lao moja mbele ya vikwazo vya magharibi? on top that jana balozi wa China nchini US ameithibitisha Marekani mapaka sasa bado china hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine.,