Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,436
- 4,429
Sijaona kufuru, imani yako inakuweka nyuma ya maendeleo ya science.
Hakika kabisa. Mungu ametupatia akili ili zitusaidie kuondokana na kero za maisha, badala yake akili zetu tunazotumia kama simu (kupokea na kuandika sms, kupiga na kupokea, na kutumiana vimeseji vya kusifiana kwenye facebook au whatsapp). Bado matumizi yetu ya akili yako chini mno. Mungu ametuumba ili tuutawale ulimwengu na vilivyomo.