China kufungua vituo vya Polisi Afrika ikiwemo Tanzania. Ubalozi wa China wakanusha

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
BBC.

China inadaiwa kufungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya Vanguard imeripoti.

Wakiwanukuu watetezi wa Usalama, Vanguard amesema mpangilio wa China unaweza kuonekana kama shambulio dhidi ya uhuru wa eneo husika.

"Badala ya kushirikiana na serikali za mataifa hayo, [China] imeamua… kushirikiana na United Front linked , mashirika ambayo yako nje ya nchi katika mabara matano, kuanzisha mfumo mbadala wa polisi na mahakama ndani ya nchi tatu, na kuhusisha moja kwa moja mashirika hayo katika mbinu zisizo halali zinazotumiwa kuwasaka 'wakimbizi'," Watetezi hao wa usalama walisema walisema.

Waliongeza kuwa mamlaka ya China, kati ya Aprili 2021 na Julai 2022, "imewashawishi" raia 230,000 kurejea China kujibu mashtaka ya jinai kuhusu mawasiliano ya simu na ulaghai wa jumla.

Pia ilisema serikali ya China ilipiga marufuku raia wake kuhamia nchi tisa ambazo hazikutajwa kwa makosa ya "udanganyifu mkubwa, ulaghai wa simu na uhalifu wa mtandao".

BBC inafuatilia juu ya taarifa hii kwa kina katika mamlaka za serikali ya Tanzania na kutoa taarifa zaidi.

1666272741487.png


=======

Kufuatia taarifa iliyotolewa na vyombo mbalimbali vya habari kuwa China itafungua vituo vya Polisi Afrika ikiwemo Tanzania ubalozi wa China kupitia akaunti rasmi ya Twitter wamekanusha taarifa hiyo na kusema kuwa ni uzushi.

Kwa upande wao Ubalozi wa China nchini Tanzania umekanusha taarifa hizo na kusema sio za kweli bali zimetungwa na baadhi ya Vyombo vya Habari vya Magharibi ili kuvuruga ushirikiano uliopo kati ya China na Afrika.

Ubalozi huo umesema China na Tanzania ni Marafiki wa muda mrefu kwenye maeneo yote na hawawezi kuyumbishwa na uzushi na kuvitaka Vyombo vya Habari vilivyosema vinautafuta Ubalozi kuthibitisha taarifa hiyo vifike Ubalozi “Mmesema mnataka kauli yetu, tupo hapa tunawasubiri”

1666272313826.png

Balozi wa Tanzania nchini China asisitiza kuwa China haifungui Kituo cha polisi Tanzania
Balozi wa Tanzania nchini China Mberwa Kairuki amekanusha taarifa zilizochapishwa na baadhi vya Vyombo vya Habari kwamba China inadaiwa kutaka kufungua Vituo vya Polisi nchini Tanzania “Taarifa hizi hazina ukweli wowote zipuuzwe”

Taarifa hiyo iliyochapishwa na Vyombo mbalimbali vya Habari ilisema China inadaiwa kufungua Vituo vya Polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na Raia wake wanaoishi katika nchi hizi tatu za Afrika.
 
The report says the tactics “deprives [Chinese nationals] of the right to be considered innocent until proven otherwise and the right to a fair trial, and also institutes a far-reaching ‘guilt by association’ paradigm.”

China’s Anti-Telecom and Online Fraud Law will go into effect in December, and gives the CCP greater authority to pursue fraud cases committed by Chinese citizens overseas.

For example, the report says that the CCP has Cambodia listed as one of the nine forbidden countries for Chinese nationals to live in due to its high incidences of fraud.

A Chinese woman running a restaurant in Cambodia was contacted by authorities to return to China in March, according to the report. The woman said she was not committing any fraud and was just doing business in the country.

Chinese officials then warned her in May that she would be put on a telecom suspect list and that they would cut water and power to her mother’s home if she didn’t return. Her mother’s home was later spray-painted with the term “House of Telecom Fraud.”

The report also cites Chinese media reports where other fraud suspects had relatives’ homes spray-painted with shameful messages and their power supply cut off.

The report says the tactics “deprives [Chinese nationals] of the right to be considered innocent until proven otherwise and the right to a fair trial, and also institutes a far-reaching ‘guilt by association’ paradigm.”

China’s Anti-Telecom and Online Fraud Law will go into effect in December, and gives the CCP greater authority to pursue fraud cases committed by Chinese citizens overseas.
 
Yaani China iingize jeshi ndani ya inchi yetu?? Af bado tujisifu tumeushinda ukoloni? Nasubili selikari it's semaje kuhusu huu upuuzi
 
Kama wale wavaa kobazi waliotaka kuanzisha mahakama yao..yani ni sawa sawa na kutengeneza utawala ndani ya utawala mwingine hii haikubaliki.

Kama wataweka vituo vya polisi hapa na mahakama zao basi wawe tayari nasi tukaweke kwao vituo vya polisi na mahakama zetu huko mana china nako kuna raia kibao watz.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa sheria ipi ambayo inaruhusu mifumo ya sheria nchi nyingine kutumika kwingine. Ikizingatiwa mifumo ya sheria ya Tanzania ni tofauti kabisa na ya China.
Wanataka kuwaokoa Raia wao na mateso ya mahabusu na magereza yetu, maana hawamu ya 6 wachina waliosoma namba walizoea kuuwa tembo wetu na kufungua viwanda bubu majumbani na kuleta machine feki za kamali.

Kwahiyo Serikali ya awamu ya sita iliwakamata sana wachina na kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi na kutakatisha pesa.

Nawao wachina utawala wa awamu ya Dikteta uliwaumiza baadhi ya Raia wake, kwakifupi awamu ya sita jamii yote tuliisoma namba Wachina, wahindi waarabu, maveberu wote waliisoma namba.
 
BBC.

China inadaiwa kufungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya Vanguard imeripoti.

Wakiwanukuu watetezi wa Usalama, Vanguard amesema mpangilio wa China unaweza kuonekana kama shambulio dhidi ya uhuru wa eneo husika.

"Badala ya kushirikiana na serikali za mataifa hayo, [China] imeamua… kushirikiana na United Front linked , mashirika ambayo yako nje ya nchi katika mabara matano, kuanzisha mfumo mbadala wa polisi na mahakama ndani ya nchi tatu, na kuhusisha moja kwa moja mashirika hayo katika mbinu zisizo halali zinazotumiwa kuwasaka 'wakimbizi'," Watetezi hao wa usalama walisema walisema.

Waliongeza kuwa mamlaka ya China, kati ya Aprili 2021 na Julai 2022, "imewashawishi" raia 230,000 kurejea China kujibu mashtaka ya jinai kuhusu mawasiliano ya simu na ulaghai wa jumla.

Pia ilisema serikali ya China ilipiga marufuku raia wake kuhamia nchi tisa ambazo hazikutajwa kwa makosa ya "udanganyifu mkubwa, ulaghai wa simu na uhalifu wa mtandao".

BBC inafuatilia juu ya taarifa hii kwa kina katika mamlaka za serikali ya Tanzania na kutoa taarifa zaidi.
ngoja tuone kama ni kweli.
 
Bora hawa wasenge wanajifanya macho kama wamesinzia kumbe mapigaji .Sukuma ndani woteee hao macho kusinzia.
 
Kama wale wavaa kobazi waliotaka kuanzisha mahakama yao..yani ni sawa sawa na kutengeneza utawala ndani ya utawala mwingine hii haikubaliki...
Wavaa kobazi gani..yesu au!?...mahakama ya kadhi ipo Kenya na zenji,na Wala Kenya hawajaona Kama kuwa na serikali ndani ya serikali,wakiristo wa Tanzania ni specie maalum, Ina chuki na hofu ya ajabu dhidi ya uislam,kwa mwendo huo ipo siku mmea huo wa chuki utazaa matunda na tutayala
 
Back
Top Bottom