Master Arcade
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 325
- 477
Kwa ufaham wangu hiki kipart kinashida kidogo au upotoshaji kwa kuwa kweli waislamu mwanzo walisali Mara mbili kwa siku ila mwaka wa kumi na mbili tangu mission ya Muhammad(Pbuh) iliamriwa kusaliwa Mara tano hapo kabla hawajaamia yathrib (medina) ambapo waliishi karibu na wayahudi hivyo sio sahihi kuwa waliiga kusali Mara tatu kama Armstrong alivyoeleza kutoka kwa wayahudi kwani waislamu walihamia Medina mwaka wa 13 tangu mission ya Muhammad (pbuh) kuanzaMwanzoni zilikuwa mbili. Baadae katika kuwaridhisha/kuwashawishi/kutafuta kukubalika kwa wayahudi waliompokea Madina, Muhamad aliamrisha ziwe tatu kuendana nao. Sasa zilifikaje tano. Tuendelee na usomaji hapa.