Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,660
Karata tatu ni uchawi au ni triki tu si uchawi?Kwahiyo unanukuu fyongokwa lengo la kunipotezea muda,hii ndiyo maana yake,kama ungekuwa unajijua kwa namna gani una uwezo mdogo wa kunukuu maneno hata kwa maana,basi hili kwako ni aula zaidi uwe unanukuu namba ya post,ili uepukane na makosa ya kiufahamu kama unayoyafanya humu.
Hiki nilichokiandika katika post # 1239, laiti kama ungekielewa usinge endelea kuandika ujinga unai dhihirisha ufahamu wako mdogo na usahaulifu wako.
Hapa hata nikikwambia onyesha kwa kunukuu nilichokiandika wapi yamepingana maneno yangu hutaweza.
Aisee nimejaaliwa kumbukumbu nzuri sana na Mola wangu.
Umetoa majibu yote mawili ukajichanganya mwenyewe..