Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Full text of "How The Vatican Created Islam"

See other formats

How the Vatican created Islam


How the Vatican created Islam. The astonishing story from an ex-Jesuit priest, Alberto Rivera,
which was told to him by Cardinal Bea while he was at the Vatican.

By Alberto Rivera | cloakanddagger.de

Article from: http://www.davidicke.com/content/view/744/48/ . From "The Prophet":
http://www. choosinglife. net/Islam.htm (website disabled)



"The Destruction of the Temple at Jerusalem" by Nicolas Poussin (1637)


This information came from Alberto Rivera, former Jesuit priest after his conversion to
Protestant Christianity. It is excerpted from "The Prophet," published by Chick Publications, PO
Box 661, Chino CA 91708. Since its publication, after several unsuccessful attempts on his life,
he died suddenly from food poisoning. His testimony should not be silenced. Dr. Rivera speaks
to us still...


"What I'm going to tell you is what I learned in secret briefings in
the Vatican when I was a Jesuit priest, under oath and induction. A
Jesuit cardinal named Augustine Bea showed us how desperately
the Roman Catholics wanted Jerusalem at the end of the third
century. Because of its religious history and its strategic location,
the Holy City was considered a priceless treasure. A scheme had to
be developed to make Jerusalem a Roman Catholic city.









"The great untapped source of manpower that could do this job was the children of Ishmael. The
poor Arabs fell victim to one of the most clever plans ever devised by the powers of darkness.
Early Christians went everywhere with the gospel setting up small churches, but they met heavy
opposition. Both the Jews and the Roman government persecuted the believers in Christ to stop
their spread. But the Jews rebelled against Rome, and in 70 AD, Roman armies under General
Titus smashed Jerusalem and destroyed the great Jewish temple which was the heart of Jewish
worship...in fulfillment of Christ's prophecy in Matthew 24:2.

"On this holy placed today where the temple once stood, the Dome of the Rock Mosque stands
as Islam's second most holy place. Sweeping changes were in the wind. Corruption, apathy,
greed, cruelty, perversion and rebellion were eating at the Roman Empire, and it was ready to
collapse. The persecution against Christians was useless as they continued to lay down their lives
for the gospel of Christ.

"The only way Satan could stop this thrust was to create a counterfeit "Christian" religion to
destroy the work of God. The solution was in Rome. Their religion had come from ancient
Babylon and all it needed was a face-lift. This didn't happen overnight, but began in the writings
of the 'early church fathers'.

"It was through their writings that a new religion would take shape. The statue of Jupiter in
Rome was eventually called St. Peter, and the statue of Venus was changed to the Virgin Mary.
The site chosen for its headquarters was on one of the seven hills called 'Vaticanus', the place of
the diving serpent where the Satanic temple of Janus stood.

"The great counterfeit religion was Roman Catholicism, called 'Mystery, Babylon the Great, the
Mother of Harlots and Abominations of the Earth'- Revelation 17:5. She was raised up to block
the gospel, slaughter the believers in Christ, establish religions, create wars and make the nations
drunk with the wine of her fornication as we will see.

"Three major religions have one thing in common - each has a holy place where they look for
guidance. Roman Catholicism looks to the Vatican as the Holy City. The Jews look to the wailing
wall in Jerusalem, and the Muslims look to Mecca as their Holy City. Each group believes that
they receive certain types of blessings for the rest of their lives for visiting their holy place. In
the beginning, Arab visitors would bring gifts to the 'House of God', and the keepers of the
Kaaba were gracious to all who came. Some brought their idols and, not wanting to offend these
people, their idols were placed inside the sanctuary. It is said that the Jews looked upon the
Kaaba as an outlying tabernacle of the Lord with veneration until it became polluted with idols.




The Kaaba, Mecca. Image from: webislam.com


"In a tribal contention over a well(Zamzam) the treasure of the Kaaba and the offerings that
pilgrims had given were dumped down the well and it was filled with sand - it disappeared.

Many years later Adb Al-Muttalib was given visions telling him where to find the well and its
treasure. He became the hero of Mecca, and he was destined to become the grandfather of
Muhammad. Before this time, Augustine became the bishop of North Africa and was effective in
winning Arabs to Roman Catholicism, including whole tribes. It was among these Arab converts
to Catholicism that the concept of looking for an Arab prophet developed.

"Muhammad's father died from illness and sons bom to great Arab families in places like Mecca
were sent into the desert to be suckled and weaned and spend some of their childhood with
Bedouin tribes for training and to avoid the plagues in the cities.

"After his mother and grandfather also died, Muhammad was with his uncle when a Roman
Catholic monk learned of his identity and said, "Take your brother's son back to his country and
guard him against the Jews, for by god, if they see him and know of him that which I know, they
will construe evil against him. Great things are in store for this brother's son of yours."

"The Roman Catholic monk had fanned the flames for future Jewish persecutions at the hands of
the followers of Muhammad. The Vatican desperately wanted Jerusalem because of its religious
significance, but was blocked by the Jews.

"Another problem was the true Christians in North Africa who preached the gospel. Roman
Catholicism was growing in power, but would not tolerate opposition. Somehow the Vatican had
to create a weapon to eliminate both the Jews and the true Christian believers who refused to
accept Roman Catholicism. Lookng to North Africa, they saw the multitudes of Arabs as a
source of manpower to do their dirty work. Some Arabs had become Roman Catholic, and could




be used in reporting information to leaders in Rome. Others were used in an underground spy
network to carry out Rome's master plan to control the great multitudes of Arabs who rejected
Catholicism. When 'St Augustine' appeared on the scene, he knew what was going on. His
monasteries served as bases to seek out and destroy Bible manuscripts owned by the true
Christians.

"The Vatican wanted to create a messiah for the Arabs, someone they could raise up as a great
leader, a man with charisma whom they could train, and eventually unite all the non-Catholic
Arabs behind him, creating a mighty army that would ultimately capture Jerusalem for the pope.
In the Vatican briefing, Cardinal Bea told us this story:

A wealthy Arabian lady who was a faithful follower of the pope played a tremendous part in this
drama. She was a widow named Khadijah. She gave her wealth to the church and retired to a
convent, but was given an assignment. She was to find a brilliant young man who could be used
by the Vatican to create a new religion and become the messiah for the children oflshmael.
Khadijah had a cousin named Waraquah,, who was also a very faithful Roman Catholic and the
Vatican placed him in a critical role as Muhammad's advisor. He had tremendous influence on
Muhammad.

'Teachers were sent to young Muhammad and he had intensive training. Muhammad studied the
works of St. Augustine which prepared him for his "great calling." The Vatican had Catholic
Arabs across North Africa spread the story of a great one who was about to rise up among the
people and be the chosen one of their God.

'While Muhammad was being prepared, he was told that his enemies were the Jews and that the
only true Christians were Roman Catholic. He was taught that others calling themselves
Christians were actually wicked impostors and should be destroyed. Many Muslims believe this.

'Muhammad began receiving "divine revelations" and his wife's Catholic cousin Waraquah
helped interpret them. From this came the Koran. In the fifth year of Muhammad's mission,
persecution came against his followers because they refused to worship the idols in the Kaaba.

’Muhammad instructed some of them to flee to Abysinnia where Negus, the Roman Catholic king
accepted them because Muhammad's views on the virgin Mary were so close to Roman Catholic
doctrine. These Muslims received protection from Catholic kings because of Muhammad's
revelations.

'Muhammad later conquered Mecca and the Kaaba was cleared of idols. History proves that
before Islam came into existence, the Sabeans in Arabia worshiped the moon-god who was
married to the sun-god. They gave birth to three goddesses who were worshipped throughout the
Arab world as "Daughters of Allah" An idol excavated at Hazor in Palestine in 1950's shows
Allah sitting on a throne with the crescent moon on his chest.


'Muhammad claimed he had a vision from Allah and was told, "You are the messenger of Allah."
This began his career as a prophet and he received many messages. By the time Muhammad



died, the religion of Islam was exploding. The nomadic Arab tribes were joining forces in the
name of Allah and his prophet, Muhammad.


'Some of Muhammad’s writings were placed in the Koran, others were never published. They are
now in the hands of high ranking holy men (Ayatollahs) in the Islamic faith.'

"When Cardinal Bea shared with us in the Vatican, he said, these writings are guarded because
they contain information that links the Vatican to the creation of Islam. Both sides have so much
information on each other, that if exposed, it could create such a scandal that it would be a
disaster for both religions.

"In their "holy" book, the Koran, Christ is regarded as only a prophet. If the pope was His
representative on earth, then he also must be a prophet of God. This caused the followers of
Muhammad to fear and respect the pope as another "holy man."

"The pope moved quickly and issued bulls granting the Arab generals permission to invade and
conquer the nations of North Africa. The Vatican helped to finance the building of these massive
Islamic armies in exchange for three favors:

1. Eliminate the Jews and Christians (true believers, which they called infidels).

2. Protect the Augustinian Monks and Roman Catholics.

3. Conquer Jerusalem for "His Holiness" in the Vatican.

"As time went by, the power of Islam became tremendous - Jews and true Christians were
slaughtered, and Jerusalem fell into their hands. Roman Catholics were never attacked, nor were
their shrines, during this time. But when the pope asked for Jerusalem, he was surprised at their
denial! The Arab generals had such military success that they could not be intimidated by the
pope - nothing could stand in the way of their own plan.

"Under Waraquah's direction, Muhammad wrote that Abraham offered Ishmael as a sacrifice.

The Bible says that Isaac was the sacrifice, but Muhammad removed Isaac's name and inserted
Ishmael's name. As a result of this and Muhammad's vision, the faithful Muslims built a mosque,
the Dome of the Rock, in Ishmael's honor on the site of the Jewish temple that was destroyed in
70 AD. This made Jerusalem the 2nd most holy place in the Islam faith. How could they give
such a sacred shrine to the pope without causing a revolt?




Image from: letsgo.com


"The pope realized what they had created was out of control when he heard they were calling
"His Holiness" an infidel. The Muslim generals were determined to conquer the world for Allah
and now they turned toward Europe. Islamic ambassadors approached the pope and asked for
papal bulls to give them permission to invade European countries.

"The Vatican was outraged; war was inevitable. Temporal power and control of the world was
considered the basic right of the pope. He wouldn't think of sharing it with those whom he
considered heathens.

"The pope raised up his armies and called them crusades to hold back the children of Ishmael
from grabbing Catholic Europe. The crusades lasted centuries and Jerusalem slipped out of the
pope's hands.

"Turkey fell and Spain and Portugal were invaded by Islamic forces. In Portugal, they called a
mountain village "Fatima" in honor of Muhammad's daughter, never dreaming it would become
world famous.

"Years later when the Muslim armies were poised on the islands of Sardinia and Corsica, to
invade Italy, there was a serious problem. The Islamic generals realized they were too far
extended. It was time for peace talks. One of the negotiators was Francis of Assisi.

"As a result, the Muslims were allowed to occupy Turkey in a "Christian" world, and the
Catholics were allowed to occupy Lebanon in the Arab world. It was also agreed that the
Muslims could build mosques in Catholic countries without interference as long as Roman
Catholicism could flourish Arab countries.




"Cardinal Bea told us in Vatican briefings that both the Muslims and Roman Catholics agreed to
block and destroy the efforts of their common enemy, Bible-believing Christianm missionaries.
Through these concordats, Satan blocked the children of Ishmael from a knowledge of Scripture
and the truth.


"A light control was kept on Muslims from the Ayatollah down through the Islamic priests, nuns
and monks. The Vatican also engineers a campaign of hatred between the Muslim Arabs and the
Jews. Before this, they had co-existed peacefully.


"The Islamic community looks on the Bible-believing missionary as a devil who brings poison to
the children of Allah. This explains years of ministry in those countries with little results.


"The next plan was to control Islam. In 1910, Portugal was going
Socialistic. Red flags were appearing and the Catholic Church was
facing a major problem. Increasing numbers were against the
church.

"The Jesuits wanted Russia involved, and the location of this vision
at Fatima could play a key part in pulling Islam to the Mother
Church.

"In 1917, the Virgin appeared in Fatima. "The Mother of God" was
a smashing success, playing to overflow crowds. As a result, the
Socialists of Portugal suffered a major defeat.



,, ., , ~ „ Lucia de Santos, Francisco

Roman Catholics world-wide began praying lor the conversion ol,, , T . ^ .

„ . , .i y . . . ij . r .• i ■ wi Marco and Jacinta Maro in

Russia and the Jesuits invented the Novenas to Fatima which they efronv

could perform throughout North Africa, spreading good public ' ®

relations to the Muslim world. The Arabs thought they were ■

honoring the daughter of Muhammad, which is what the Jesuits wanted them to believe.


"As a result of the vision of Fatima, Pope Pius XII ordered his Nazi army to crush Russia and the
Orthodox religion and make Russia Roman Catholic." A few years after he lost World war II,
Pope Pius XII startled the world with his phoney dancing sun vision to keep Fatima in the news.
It was great religious show biz and the world swallowed it.



slot surprisingly, Pope Pius was the only one to see this vision,
s a result, a group of followers has grown into a Blue Army
orld-wide, totaling millions of faithful Roman Catholics ready to
ie for the blessed virgin.




"But we haven't seen anything yet. The Jesuits have their Virgin
Mary scheduled to appear four or five times in China, Russia, and
major appearance in the U.S.



"What has this got to do with Islam? Note Bishop Sheen's

statement: "Our Lady's appearances at Fatima marked the turning point in the history of the
world's 350 million Muslims. After the death of his daughter, Muhammad wrote that she "is the
most holy of all women in Paradise, next to Mary."

"He believed that the Virgin Mary chose to be known as Our Lady of Fatima as a sign and a
pledge that the Muslims who believe in Christ's virgin birth, will come to believe in His divinity.

"Bishop Sheen pointed out that the pilgrim virgin statues of Our Lady of Fatima were
enthusiastically received by Muslims in Africa, India, and elsewhere, and that many Muslims are
now coming into the Roman Catholic Church."

Article from: http://www.cloakanddagger.de/lenny/alberto_rivera.htm




0.gif
 
Kitabu hicho kinasema ukiona mambo huyelewi uliza vitabu vilivyokuwepo kabla yake yaani injili, zaburi na torati.I injili hasa ya Yohana iko wazi kuhusu uungu wa Yesu. Kwangu Mimi issa bin Mariam ni distorted explanations of Jesus Christ of the Bible. Ni sawa ikiandikwa Hadith ya Nyerere Nigeria inayosema alizaliwa dar, akafia muhimbili. Ila ukija Tanzania utakutana na maandiko yanasema wazi kazaliwa mwitongo na kafia st Thomas UK. Ntawaamini wayahudi zaidi ya Yesu wa uarabuni.
Huyo muandishi aliyoandika hicho kitabu cha Yohana na akakuambia kuwa Yesu ni Mungu na wewe ukaamini

Huyo mwandishi hadi Leo hii ajulikani kama tungemjua huyo mwandishi tungemuuliza hayo maneno ameyapata wapi maana Yesu mwenyewe anakataa kuwa yeye ni Mungu

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza inabidi tujue Ukristo umeletwa na nani ?

Uislamu kwa maana ya imani,upo tangu anaumbwa Adamu,ila kwa sheria alikuja nao Mtume Muhammad.

Nachojua mimi Ukristo ulianza kuwepo kabla ya ujio wa Mtume Muhammad. Hoja yako iko wapi ? Kwamba kisa umetangulia ndiyo Ukristo ni kweli au mafundisho yake ?
Unaelewa maana ya imani au umekaririshwa na wale wavaa vipeodo
 
Nilichokiandika kipi? wapi? si uhalisia vipi? uhalisia ni nini? unaupimaje kuwa huu uhalisia na si kitu unachofikiri tu kuwa ni uhalisia?

Your intellectual laziness is directly proportional to your false sense of superiority.
Wewe mimi sasa hivi nakufundisha,sababu najua uwezo mdogo sana kuyajadili mambo haya.

Uhalisia ni kuwa mtu haongelei mambo asiyo yajua isipokuwa mjinga au mpotoshaji au mwenye yote hayo mawili. Najua hukuelewa ufafanuzi wangu ndiyo maana umekuja na maswali badala ya ukosoaji. Huwezi kuweka dhana kwa mtu asiye jua "square root ya mbili" kwamba anaweza kusema kuwa ni "10" kisa tu hajui,hii ni dhana isiyo fanyiwa kazi mpaka upatikane ushahidi wenye nguvu. Nitakuuliza swali kwamba umejuaje mtu asiye jua square root ya mbili kama anaweza kusema ni kumi ?

Sasa sisi siyo wajinga kama wewe mzee. Uache kufikiri kwa dhana kwani kufanya kunadidimiza uwezo wa kufikiri.

Uhalisia upo ni kuuchukua. Uhalisia ni kuwa mtoto ni mdogo kiumri kuliko baba yake au moja ni nusu mbili. Ina maana hata ulichokiandika hukijui na hujui kiko wapi ? Yaani una hoji ujinga sana,angalia hicho nilicho kukosoa kwacho,hicho ndicho ulichokiandika.
 
Unaelewa maana ya imani au umekaririshwa na wale wavaa vipeodo
Ili ujue kama nimekaririshwa au la,kosoa nilicho kiandika mzee. Uzuri ulioje huwezi kukosoa hili na huenda hata maana ya tamko imani hujui.

Unapoteza muda kuhoji ujinga badala ya kujenga hoja.

Jenga hoja.
 
Uislamu unaitambua Injili ya Issa,ambayo hata nyinyi hamna. Hizo Injili za Yohana umezipata wapi ?

Watu wa kitab walio zungumziwa hapo tukiweka katika mizani wewe haupo,sababu haukuwepo kipindi hivyo vitabu wanapewa watu hao wa kitabu.

Lakini umesema Injili ya Yohana,hapo wanazungumziwa waliopewa kitabu Injili ya Issa na Taurati ya Musa. Hakuna Injili ya Yohana,ndiyo maana hata leo hamumjui nani aliandika Injili ya Yohana.
Mbona unaongeza maneno yako?

Leta mstari wa Quran unaosema kuna kitu kinaitwa injili ya Issa.
 
Wewe mimi sasa hivi nakufundisha,sababu najua uwezo mdogo sana kuyajadili mambo haya.

Uhalisia ni kuwa mtu haongelei mambo asiyo yajua isipokuwa mjinga au mpotoshaji au mwenye yote hayo mawili. Najua hukuelewa ufafanuzi wangu ndiyo maana umekuja na maswali badala ya ukosoaji. Huwezi kuweka dhana kwa mtu asiye jua "square root ya mbili" kwamba anaweza kusema kuwa ni "10" kisa tu hajui,hii ni dhana isiyo fanyiwa kazi mpaka upatikane ushahidi wenye nguvu. Nitakuuliza swali kwamba umejuaje mtu asiye jua square root ya mbili kama anaweza kusema ni kumi ?

Sasa sisi siyo wajinga kama wewe mzee. Uache kufikiri kwa dhana kwani kufanya kunadidimiza uwezo wa kufikiri.

Uhalisia upo ni kuuchukua. Uhalisia ni kuwa mtoto ni mdogo kiumri kuliko baba yake au moja ni nusu mbili. Ina maana hata ulichokiandika hukijui na hujui kiko wapi ? Yaani una hoji ujinga sana,angalia hicho nilicho kukosoa kwacho,hicho ndicho ulichokiandika.
Unavyoanza tu unaanza kwa kujitapa kijinga.

Acha watu waseme unanifundisha.

Kichaa yeyote anaweza kusema ananifundisha, hata kama anajiharishia ujingq tu hapa.

Nimetoa mfano wa square root ya 2 kuwa 10 kwa sababu ni contradiction.

Ina contradict kanuni ya kihesabu kwamba square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa kuliko 2.

Sawasawa na contradictions nyingine za kimantiki.

Unanibishia kwa kusema kwamba square root ya 2 inaweza kuwa 10 katika base 10 number system?

Nikisema kwamba mtu anayefanya contradiction ya kimantiki ni sawa na mtu anayesema square root ya 2 ni 10 nakosea?

Nikisema kwamba naweza kujua kwamba square root ya 2 si 10, hata kama sijui square root ya 2 ni nini, kwa sababu square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2 nakosea?

Nikisema kwamba naweza kujua jibu fulani si sahihi, hata kabla sijajua jibu sahihi ni lipi, nitakuwa nakosea?

Unachopinga ni kipi?

Unasema contradiction si contradiction?
 
Ili ujue kama nimekaririshwa au la,kosoa nilicho kiandika mzee. Uzuri ulioje huwezi kukosoa hili na huenda hata maana ya tamko imani hujui.

Unapoteza muda kuhoji ujinga badala ya kujenga hoja.

Jenga hoja.
Unaongea mavi tu,biblia imekuwepo karne saba kabla ya kitabu chako,ukitaka kujua imani ni nini kaiulize bible,fala wew
 
Wewe mimi sasa hivi nakufundisha,sababu najua uwezo mdogo sana kuyajadili mambo haya.

Uhalisia ni kuwa mtu haongelei mambo asiyo yajua isipokuwa mjinga au mpotoshaji au mwenye yote hayo mawili. Najua hukuelewa ufafanuzi wangu ndiyo maana umekuja na maswali badala ya ukosoaji. Huwezi kuweka dhana kwa mtu asiye jua "square root ya mbili" kwamba anaweza kusema kuwa ni "10" kisa tu hajui,hii ni dhana isiyo fanyiwa kazi mpaka upatikane ushahidi wenye nguvu. Nitakuuliza swali kwamba umejuaje mtu asiye jua square root ya mbili kama anaweza kusema ni kumi ?

Sasa sisi siyo wajinga kama wewe mzee. Uache kufikiri kwa dhana kwani kufanya kunadidimiza uwezo wa kufikiri.

Uhalisia upo ni kuuchukua. Uhalisia ni kuwa mtoto ni mdogo kiumri kuliko baba yake au moja ni nusu mbili. Ina maana hata ulichokiandika hukijui na hujui kiko wapi ? Yaani una hoji ujinga sana,angalia hicho nilicho kukosoa kwacho,hicho ndicho ulichokiandika.
Wew fala kweli unamwamini mtu alielala na binti wa miaka tisa eti nabii,btw quran imequote meeemgi sana kwenye Bible,hakuna sehem Bible imequote quran,
 
Mbona unaongeza maneno yako?

Leta mstari wa Quran unaosema kuna kitu kinaitwa injili ya Issa.

Anasema Allah :
27. Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na tukajaalia katika nyoyo za walio mfuata upole na rehema. Na umonaki (utawa wa mapadri) wameuzua wao. Sisi hatukuwaandikia hayo, ila kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu. Lakini hawakuufuata inavyo takiwa kuufuata. Basi wale walio amini katika wao tuliwapa ujira wao. Na wengi wao ni wapotovu.(al-Haadid : 27)
 
Unavyoanza tu unaanza kwa kujitapa kijinga.

Acha watu waseme unanifundisha.
Hii nayo si hoja. Kuacha watu waseme si lazima waseme,na hapa kuna sababu nyingi.

Kadjalika kuna kujitapa na kuandika ukweli. Hapa naandika ukweli,ukweli ambao huwezi kuupinga wala kuukosoa kielimu.
Kichaa yeyote anaweza kusema ananifundisha, hata kama anajiharishia ujingq tu hapa.
Hakuna kichaa wa namna hii,haikai elimu kwa kichaa wala mjinga,ndiyo maana haya ninayo yaandika hakuna kichaa anayo yadiriki. Kama naandila uongo mpe kazi hii kichaa.
Nimetoa mfano wa square root ya 2 kuwa 10 kwa sababu ni contradiction.
Nani amesema kwamba hujatoa mfano ? Msingi wa hoja yangu ni wewe kulinganisha vitu visivyo fanana. Soma vizuri nilichokiandika uone uzembe wako. Inaonekana ninacho kiandika hukisomi au hukieliwi.
Nimetoa mfano wa square root ya 2 kuwa 10 kwa sababu ni contradiction.

Ina contradict kanuni ya kihesabu kwamba square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa
Halafu kwa ujinga wako bado unakataa kama sikufundishi. Huwa nakwambia ya kuwa elimu ya mantiki ni dhaifu sana,mpaka unashindwa kuhoji. Ulitoa mfano wa dhana,dhana ambayo umeiegemeza kwa mtu asiye jua kusema ya kuwa square root ya 2 ni kumi. Nikaonyesha ujinga wako kwa kujenga hoja hi,kisha nikakwambia hivi asiyejua halimpitii hilo. Kwa maana unatengeneza ujinga kwa ujinga usio wezekana,yaani ni ujinga maradufu,kisha nikahitimisha ya kuwa unaandika kisicho halisi kwa kilicho halisi. Hujaelewa wapi ?

Vipi iwepo contradiction kwa mtu asiye jua uliyedhania atasema square root ya 2 ni 10 ? Wakati jibu linajulikana kuwa si kumi lazima liwe chini ya 2. Ni sawa udai kuna contradiction ya kuwa nusu ni mara ni moja juu ya mbili au moja gawa kwa mbili kisha mtu akasema ni tatu,kisha kwa kusema kwake ukasema hiyo ni contradiction. Hakuna contradiction hapo. Bali mmoja amekosea. Sasa usiwe unaandika andika tu kizembe.
Sawasawa na contradictions nyingine za kimantiki.
Si kweli. Umesoma mantiki kwa nani mzee ? Au umejisomea mwenyewe ? Huwa hamchelewi kusema nimesoma mwenyewe sijafundishwa. Haya ndiyo matatizo ya kusoma mambo mwenyewe.
Nikisema kwamba mtu anayefanya contradiction ya kimantiki ni sawa na mtu anayesema square root ya 2 ni 10 nakosea?
Unakosea sababu mantiki ni dhaifu katika uhalisia,yaani iko mbali na uhalisia ndiyo maana ukaweza kulinganisha vitu visivyo linganishwa katika uhalisia.
Nikisema kwamba naweza kujua kwamba square root ya 2 si 10, hata kama sijui square root ya 2 ni nini, kwa sababu square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2 nakosea?
Unakosea kielimu,sababu umeshasema hujui square root ni nini,kinyume chake utakuwa unabahatisha na hakuna kubahatisha katika elimu.

Nyinyi ndiyo huwa mnasema "Mimo sijui lakini hunidanganyi chochote". Vipi usidanganywe wakati hujui ?
Nikisema kwamba naweza kujua jibu fulani si sahihi, hata kabla sijajua jibu sahihi ni lipi, nitakuwa nakosea?
Kadhalika unakosea sababu utakuwa hujui bali unabahatisha,na hakuna kubahatisha katika elimu. Yaani unakuwa bado unakosea na hujui.
Unachopinga ni kipi?
Nacho pinga ni wewe kulinganisha visivyo linganishwa wala kulinganishika na nina pinga wewe kujalia kuwepo kwa "contrdiction" sehemu ambayo haina "contradiction" huu ni uhuni na uzandiki.
Unasema contradiction si contradiction?
Mpaka ikidhi vigezo na masharti.
 
Unaongea mavi tu,biblia imekuwepo karne saba kabla ya kitabu chako,ukitaka kujua imani ni nini kaiulize bible,fala wew
Nacheka sana. Hapa ndipo utamu wa elimu unapo onekana.

Zama za mtume hapakuwa na Biblia,kijana. Nakupa miaka mia uje kuthibitisha ya kuwa Biblia ilikiwepo tu zama za mtume achilia mbali miaka kumi tu baada ya nabii Issa kupazwa.

Wakubwa tunapo ongelea elimu,unatakiwa ukacheze ila usichezee mchanga maana ukirudi nyumbani utachapwa.
 
Wew fala kweli unamwamini mtu alielala na binti wa miaka tisa eti nabii,btw quran imequote meeemgi sana kwenye Bible,hakuna sehem Bible imequote quran,
Siku nyingine uwe unatulia ukiona huna cha kuandika,suala la imani tu ulilo jifaragua kwalo nimekupa wasaa wa kulijengea hoja umeshindwa,sasa haya mengine ni muhali kuyaweza.

Mjinga kama wewe nakupuuza sababu napoteza muda bure. Ukiwa na hoja leta tujadili,ila mpaka tulimalize hili la imani ulilo lianzisha.

Hivi ndivyo nilivyo mimi,mlipoambiwa msome na mkaenda kujidai mmesoma,mlizidhulumu nafsi zenu.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Anasema Allah :
27. Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na tukajaalia katika nyoyo za walio mfuata upole na rehema. Na umonaki (utawa wa mapadri) wameuzua wao. Sisi hatukuwaandikia hayo, ila kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu. Lakini hawakuufuata inavyo takiwa kuufuata. Basi wale walio amini katika wao tuliwapa ujira wao. Na wengi wao ni wapotovu.(al-Haadid : 27)
Hapo kwenye wingi,MUNGU yuko na nani?
 
Anasema Allah :
27. Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na tukajaalia katika nyoyo za walio mfuata upole na rehema. Na umonaki (utawa wa mapadri) wameuzua wao. Sisi hatukuwaandikia hayo, ila kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu. Lakini hawakuufuata inavyo takiwa kuufuata. Basi wale walio amini katika wao tuliwapa ujira wao. Na wengi wao ni wapotovu.(al-Haadid : 27)


Hii ni Quran imesema tukampa injili ila haijaiita injili ya Issa.

je, na mimi nitakuwa sahihi kuiita Quran 'Quran ya mtume' na sio 'Quran takatifu'?
 
Kabla ya kunakili nafikiri afanye tafiti kidogo ili angalau awe na uwezo wa kutetea kile alichokiandika
Siku nyingine uwe unatulia ukiona huna cha kuandika,suala la imani tu ulilo jifaragua kwalo nimekupa wasaa wa kulijengea hoja umeshindwa,sasa haya mengine ni muhalo kuyaweza.

Mjinga kama wewe nakupuuza sababi napoteza muda. Ukiwa na hoja leta tujadili,ila mpaka tulimalize hili la imani ulilo lianzisha.

Hivi ndivyo nilivyo mimi,mlipoambiwa msome na mkaenda kujidai mmesoma,mlizidhulumu nafsi zenu.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Hili tamko la Injili hasa ya Yohana umelitoa wapi?
Kitabu hicho kinasema ukiona mambo huyelewi uliza vitabu vilivyokuwepo kabla yake yaani injili, zaburi na torati.I injili hasa ya Yohana iko wazi kuhusu uungu wa Yesu. Kwangu Mimi issa bin Mariam ni distorted explanations of Jesus Christ of the Bible. Ni sawa ikiandikwa Hadith ya Nyerere Nigeria inayosema alizaliwa dar, akafia muhimbili. Ila ukija Tanzania utakutana na maandiko yanasema wazi kazaliwa mwitongo na kafia st Thomas UK. Ntawaamini wayahudi zaidi ya Yesu wa uarabuni.
 
Salam wanaJF!

Mwanamama Karen Armstrong alifanya utafiti wa miaka mingi kuhusu chimbuko na mabadiliko ya dhana ya Mungu [Ieleweke ni dhana ya Mungu sio Mungu - Concept of God and Not God]. Baada ya utafiti huo akaja na kitabu alichokiitwa HISTORY OF GOD: THE 4,000 YEARS QUEST OF JUDAISM, CHRISTIANITY AND ISLAM. Kitabu hiki chenye umri wa takribani miaka takribani 30 sasa, kimeelezea ni kwa vipi dhana ya Mungu imekuwepo toka dunia ya kale, na imekuwa ikibadilika kila nyakati zinapobadilika. Na pili ameelezea chimbuko la dini kuu tatu duniani za Uyahu6, Ukristo na Uislam. Hapa ameelezea mazingira yalipoibukia dini hizi na mapokeo yake.

Katika mfululizo wa makala hizi ni simulizi kutoka kwenye kitabu hicho. Kila siku nitaweka sehemu moja ili tupate kuelewa taratibu na tuweze kujadili. Elimu za falsafa na dini huwa zinahitaji mwendo wa taratibu.

SEHEMU YA I - KUTEREMSHWA QURAN.

Katika mwaka 610 katika jiji la kibiashara lilokuwa na changamoto nyingi wakayi huo la Meka katika mji wa Hijjaz, mfanyabiashara wa kiarabu Ambaye pengine hajawahi kusoma Biblia, wala pengine alikuwa hajawahi kuwasikia kina Yeremia, isaya wala ezekiel alikuwa na mapitio kama yao. Kila mwaka, Muhamad Ibin Abdallah, kutoka kabila la Kureshi alikuwa akiipeleka familia yake kwenye milima ya Hijra iliyopo nje ya mji wa Maka kwa ajili ya kufanya maombi kipindi cha mwezi wa Ramadhani. Huu ulikuwa ni utamaduni wa jamii ya waarabu. Muhamad alikuwa akimuomba Mungu wa Juu wa Waarabu, na kutoa sadaka na chakula kwa masikini waliokuja kumtembelea kipindi hicho. Pengine alitumia muda wake kutafakari juu ya yanayojiri Katika mji wa Meka. Haya yanathibitishwa na maisha yake ya baadae wakati akiwaza jinsi gani ya kuiweka sawa jamii yake ya Maka, ambayo licha ya mafanikio yake ya sasa, imekuwa ikipitia matatizo mengi.

Vizazi viwili nyuma, watu wa Kuresh walipitia maisha ya kuhamahama kutafuta chakula katika nyika za uarabuni kama zilivyo jamii zingine za wabeduni. Katika karne ya sita mwishoni jamii hii ilibadilika na kuwa eneo muhimu kwa waarabu baada ya mafanikio yake makubwa kibiashara. Matajiri wengi walijitokeza na hali ya maisha iliboreka. Lakini mfumo wa maisha wa mila za asili za waarabu, uliondolewa na ubepari. Watu wengi walikuwa na wasiwasi na hatima yao chini ya mfumo katili wa ubepari, hivyo Muḥammad aliona ipo haja ya kuwa na itikadi mpya itakayorekebisha matatizo yanayojitokeza huko Maka.

Kwa mazingira yale, ufumbuzi wowote wa kisiasa ilikuwa ni lazima uwe na asili/sura ya kidini. Muhamad alitambua kuwa pesa ndio inakuwa mbadala wa Dini kwa Wakureshi. Hofu kubwa ya Muhamad ni kuwa, pesa iliyopokwa wakureshi ilipaswa tu iwaokoe kutoka kwenye madhira ya mfumo wa kubangaiza, Magonjwa na vurugu katika ya jamii ya wabeduni, Pesa sasa inageuzwa kuwa ndio 'msingi wa maisha yao'. Jamii imefanikiwa na kujitosheleza vya kutosha, kiasi cha baadhi ya watu kujiona kwakuwa ni matajiri basi wao wanamaisha ya milele (immortal). Kwa mtazamo wa Muhamad hali hii ya jamii ya wakureshi kujitosheleza (Istaqa), italeta utengano katika jamii yao. Miaka ya nyuma wakati wanaishi Nomadic life, mfumo wa maisha ulikuwa ni jamii kwanza, kisha mtu baadae. Jamii hiyo ilitambua kuwa ili kuishi, basi jamii inategemeana. Hivyo jamii ilipaswa kuwasaidia masikini na makundi yasiyojiweza. Kwa sasa umimi umetawala na kuuondoa umoja wa kijamii na ushindani umeondoa mashirikiano ya jamii. Watu walianza kujenga utajiri bila kujali waqureshi masikini. Kila koo ilipambana dhidi ya koo zingine ili kutengeneza utajiri. Koo za hali ya chini kama ya Hashmi yake Muhamad mwenyewe zilijiona ziko hatarini.

Muhamad aliona kama wakureshi wasipopata mfumo mwingine utaofanya wawe wamoja, basi tamaa ya utajiri utaitawanyisha kabila ya Wakureshi. Jamii zingine za kiarabu za kibeduni katika maeneo ya Hijaz na Najad nao zilikuwa kwenye taharuki. Watu waliishi kwa mapambano na kupigana kati yao ili tu kupata mahitaji ya msingi ya kila siku. Katika kujenga jamii moja, waarabu walikuwa na mfumo waliouita Muruwah, ambao ulitimiza majukumu mengi ya dini. Lakini kwa ujumla, waarabu hawakuwa na muda na dini. Walikuwa ni wapagan waliokuwa wakiamini katika miungu kila mmoja wa kwake nyumbani kwake. Haikuwepo Mfumo au imani moja iliyowaelezea waarabu umuhimu wa Mungu na maeneo matakatifu katika maisha. Hakuwa na ufahamu juu ya maisha baada ya kifo, Ila waliamini kuwa Giza (ambayo inaweza kutafsiriwa kama muda au hatma), ilikuwa ni UKUU(SUPREME). Katika jamii ambayo idadi ya vifo iko juu, Mtazamo huu ulikuwa muhimu.

Jamii za magharibi wanamtazamo mfupi kuhusu Muruwah, lakini kiuhalisia ilimaanisha hamasa ya mapambano, Uvumilivu na ustahimilivu kwenye shida na kujitoa kwa kabila. Mila za Muruwah ziliwataka jamii kuwa watiifu kwa kiongozi wa kabila (sayyid) hata kama maisha yake mwenyewe yako hatarini. Iliwataka jamii wailinde jamii na makundi yaliyo hatarini na pia wailipie kisasi jamii yao inapotendewa uovu. Kuhakikisha kuwa kabila linaendelea, Sayyid aliwagawia sehemu ya utajiri wake kwa watu, na katika mazingira ambayo mtu ameuawa, basi naye Sayyid alimuua mwanafamilia mmoja kutoka familia ya muuaji. Hii ilitokana kuwa ilikuwa ngumu wakati mwingine kumpata muuaji halisi, sababu ya mazingira aliweza kupotea na asijulikane, hivyo hakukua na wajibu wa kumuadhibu muuaji bali mwanafamilia wake.

Sababu ya kutokuwepo kwa utawala mmoja, mapigano yalikuwa ndiyo njia ya kuhakikisha usalama wa jamii. Hakukua na mfumo wa ulinzi ambao unaweza ufananisha na majeshi ya polisi wa leo. Kama chief akishindwa kupigana vita, basi hakuna mtu atayemuheshimu na anaweza jichukulia sheria mkononi na chochote kisimtokee. Hivyo kabila moja kupigana na jingine ilikuwa ndio mfumo wa kutafuta haki.

Licha ya mapungufu hayo ya ukatili, mfumo wa Muruwah ulikuwa na faida zake. Ulisisitiza usawa na matumizi sawa na bidhaa. Pengine katika jamik ambayo biadhaa ni adimu, basi usawa wa matumizi ya bidhaa ni muhimu. Mafunzo ya upeo na ukarimu zilikuwa ni mila muhimu na zikawafundisha Waarabu kutozingatia kesho yake. Mila hizi zilikuja kuwa za muhimu sana kwenye uislam, kama tutavyoona huko mbele. Mfumo huu uliwafaa waarabu kwa muda mrefu, ila kufikia karne ya 6, hakuweza kuendana na mazingira ya kisasa. Wakati wa kipindi cha mwisho cha zama kabla ya Uislam, waarabu wanakiita Jahiliyyah (zama za giza), watu wengi hawakuwa na amani pia walikuwa na mashaka juu ya imani zilitawala wakati huo. Kipindi hiki, Waarabu walikuwa wamezungukwa na dola kubwa mbili, Sassanid Persia na Byzantium.

Wafanyabiashara waliokuwa wakienda miji ya syria na iraq ya sasa, ndio waliokuwa chachu ya maendeleo kwani walikuwa wakija na hadithi na mawazo kuhusu ustaarabu waliokuta huko. Lakini vurugu za mara kwa mara, ziliwazuia waarabu kuwa jamii iliyo settle licha ya kuapata ideas mpya kutoka kwenye jamii zilizosettle za wasyria na wairaq. Hawakua na muda wa kuungana na kutengeza maisha yao kwa ujumla. Hivyo hata maeneo yenye rutuba hasa Uarabuni ya kusuni(Yemen ya leo), iliyokuwa na faida ya kijiografia ya mvua za Monson, ikachukiliwa na wapersia. Kuja kwa ideas mpya, kulihatarisha mila za kijama za jamii. Mfano, dhana ya kikristo ya Maisha baada ya kifo ambayo inasisitiza kuwa kila mmoja atawajibika kwa matendo yake, inaashirisha kila mtu kutengeneza maisha yake, na sio jamii kwa pamoja. Muhamad alikuwa ni mtu mwenye akili ya juu sana, (exceptional genius), hadi anafariki mwaka 632 alikuwa amefanikiwa kuziunganisha kabila za kiarabu Kuwa jamii moja iliyoungana (Ummah). Alifanikiwa kuweka imani ambayo kiupekee ilifit mila za waarabu na kuweza kuwapa hamasa kubwa ya maisha na kufanikiwa kutengeneza dola kubwa ya kiislam, Iliyoanzia Himalayas to the Pyrenees.

Na kujenga utamaduni/ustaarabu wa pekeee. Wakati Muhamad akiwa milimani akisali, ni dhahiri hakutegemea kufikia mafanikio makubwa kiasi hicho. Kama walivyokuwa waarabu wengine, Muhamad alimuamini al-Lah, jina la Mungu wa Juu wa waarabu toka kale. Neno hili lilitafsirika kuwa ni Mungu. Na Mungu huyu alikuwa na ufanano na Mungu aliyeabudiwa na wayahudi na Wakristo. Aliamini kuwa Mtume wa Mungu huyo ndiye atakaye wakomboa jamii yake, lakini kamwe hakuwaza kuwa yeye ndiye angekuwa mtume huyo. Jamii za waarabu kwa muda mrefu hakufurahishwa kuwa Mungu wao, al-Lah hajatuma mtume wake kwao wala kuwapa maandiko matakatifu, licha ya kuwa kwa miaka yote toka kale walikuwa na madhabahu wanayomuabudia. Hadi karne ya 7, waarabu wengi waliamini kuwa Kabah, dhabahu kuwa lenye umbo la Mche mraba, lililopo katikati ya mji wa Maka toka kale, lipo pale kwa ajili ya al-Lah, licha ya kuwa mungu wa watu wa Nabate aliyeitwa Hubal ndiye aliyekuwa dhabahu lake.

Kabah lilikuwa ni eneo la ufahari wa watu wengi wa Maka na ndiyo lilikuwa eneo takatifu Muhimu zaidi kwa watu wa Urabuni. Kila mwaka watu kutoka maeneo mbalimbali ya kuzunguka uarabuni walienda pale kwa ajili ya kuhiji. Na kufanya Ibada za kitamaduni kwa siku kadhaa. Eneo lote takatifu la kuzunguka kabah lilikuwa ni marufuku kufanyia mapigano, hivyo maeneo hayo na viunga vyake, biashara zilifanyika sana kwa kujua kuwa Chuki za kikabila maeneo yale zinasitishwa na kuzuia vurugu. Wakureshi walijua, bila maeneo hayo kuwa matakatifu, kamwe wasingefanikiwa kwenye ufanyaji biashara, hivyo ufahari wao ulitokana na eneo hilo hivyo walihitaji kulilinda eneo hilo takatifu la kale. Licha ya kuwa al-Lah amewapa upendeleo maalum wao wakureshi, lakini hakuwatumia mtume kama ilivyokuwa kwa Abraham, Moses au Yesu na Pia waarabu hawakuwa na maandiko matakatifu yaliyopo kwa lugha yao wenyewe. Hivyo walijihisi unyonge mara kwa mara wanapokutana na wafanyabiashara wa kiyahudi au kikristo waliokuwa wakiwadhihaki kuwa Watu washenzi ambao hawajapata ufunuo wa Mungu. Waarabu waliwaheshimu watu hawa kwa kuwa na elimu ambayo wao hawana.

Wakristo na wayahudi walikuwa wameendelea zaidi katika ukanda huo(kwenye masuala ya kidini), Lakini mtazamo wa waarabu ni kuwa ukristo na uyahudi ulikuwa ni bora tu dhidi ya miungu iliyopo maeneo yao huko. Kulikuwa na baadhi ya makabila ya wayahudi waliokuwa na mashaka na ukazi wao huko Yathrib(madina) na Fadak, na baadhi ya waliokuwepo kwenye eneo la kaskazini mwa Mpaka wa Persian na Byzantine Empire walibadili dini kwenye kwenye ukristo. Lakini wabeduni walikuwa na msimamo na waliojitegemea, Na hawakutaka kuwa chini ya utawala wa dola kubwa kama wenzao wa Yemen, na walijua fika dola zote za persian na Byzantine walitumia dini za uyahudi na ukristo kueneza tawala na mila zao kwenye ukanda huo. Pia walikwisha choka na migawanyiko ya kitamaduni, hivyo hawakutaka kabisa itikadi ya kigeni na inayofunzwa kwa lugha na tamaduni za kigeni.

Baadhi ya waarabu walijaribu kubuni imani ya Mungu mmoja ambayo haitakuwa na msukumo wa kibepari ndani yake. Kama ambavyo mwanahistoria wa Kipalestine wa Karne ya tano, Sozomenus anavyoeleza kuwa, Baadhi ya waarabu wa syria waligundua kitu kilichoitwa dini halisi ya Abraham, ambaye aliishi kabla Mungu hajaleta Torati wala Injili, Ambaye kwa hivyo hakuwa Myahudi wala Mkristo. Muda mchache Kabla Muhamad hajapokea wito wake wa kitume, mwandishi aliyemuelezea aitwa Muhamad ibin Ishaq, Waquresh wanne Wa maka, waliamua kutafuta dini halisi ya Abraham (Hinifiyyah). Baadhi ya waandishi wa kimagharibi, wanadai Kuwa suala la Hinifiyyah ni la kubuni na ilikuwa ni ishara ya kutapatapa kwa jamii hiyo ya zama za giza (jahiliyyah) Lakini ina msingi wake.
Mahaniffs watatu, hawa wanajulikana kama ni waislam wa mwanzo. Ubaydallah ibn Jahsh aliyekuwa binamu wa Muhammad, Waraqa ibn Nawfal ambaye baadae alibadili dini na kuwa mkristo, Zayd ibn Amri mjomba wake Umar ibn al-Khattab, washirika wa karibu wa Muhamad na aliyekuwa kiongozi wa pili wa dola ya kiislam(khalifa). Kuna hadithi kuwa siku moja kabla ya ufunuo kwa Muhamad, Zayd alipowakuta waquresh kwenye kaaba, alitamka maneno kuwa '....laiti angejua Mungu anaabudiwa vipi, basi angemuabudu, lakini kwa bahati mbaya hajui'.

Tamanio hili la kupata ufunuo, lilijibiwa usiku wa 17 wa Mwezi wa Ramadhani mwaka 610 katika mlima Hira. Alipokuwa amelala Muhamad alistuka usingizini na kuhisi kuwa amezingirwa na uwepo wa utakatifu katika eneo hilo. Baadae Alilielezea tukio hili lisiloelezeka kwa urahisi. Akitumia lugha ya kiarabu. Alieleza kuwa Malaika alijitokeza na kumpa maagizo kuwa, 'SOMA'[IQRA]. Kama ilivyokuwa kwa mitume ya kiyahudi waliokuwa wagumu kusoma maneno ha Mungu, naye Muhamad alikataa. Akijibu kwa 'Mimi siwezi kusoma'. Hakuwa Kahin, wasoma ushairi wa kikureshi. Anasema Muhamad kuwa malaika alimbana mwili kiasi cha kuhisu Pumzi inamtoka, Na kisha Malaika akamuachia na kumuambia tena IQRA. Alikataa na malaika akambana tena kiasi cha kufika mwisho wa uvumilivu. Mara hiyo ya tatu, Muḥammad alipata maneno aliyohisi tu yanatoka mdomoni kwake akiyatamka.

Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!
Ambaye amefundisha kwa kalamu.


Maneno ya Mungu yakatamkwa kwa mara ya kwanza katika lugha ya kiarabu na maandiko haya yakaitwa Quran: Usomaji.

Kesho tutaendelea na yaliyojiri baada ya Muḥammad kuteremshiwa Quran.
Hi ni ushahidi tosha kuwa Quran ni maneno ya Mungu na ndio maana mmeshindwa kuu challenge uislam kupitia Quran mmeona ni bora mkatafute vitabu vya makafiri wenzenu

Kama ingekua hizo hoja umezijenga kupitia Quran tungekujibu lakini kwa kuwa unanukuu maneno yaliyoandikwa na kafiri mwenzenu haina shida endeleeni tu kudanganyana maana mmesha zoea kudanganyana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom