Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Ni mitaa inayoungana au kila mtaa unajitegemeaMnaziMmoja:- Lumumba/NaruNg'ombe st.
Na Lindi st /umoja wa wanawake st.
Hapo ukiingia mtaani utaona mabango MITUMBA na utaona harakati za kupakia.Ni mitaa inayoungana au kila mtaa unajitegemea
Ok shukranHapo ukiingia mtaani utaona mabango MITUMBA na utaona harakati za kupakia.
Kwann zinatitwa grade 1 Halafu kali zinakuwa chache sana hivyoShati Belo lake Ni 600000 japo mimi nimenunua juzi tu ila mkoani
Nimekuta shat 184
Nikachambua Kali grade zikatoka 54
Aiseeee.Shati Belo lake Ni 600000 japo mimi nimenunua juzi tu ila mkoani
Nimekuta shat 184
Nikachambua Kali grade zikatoka 54
Hizo 54 ukiuza una 540,000 zilizobaki uza 5,000 kila mojaShati Belo lake Ni 600000 japo mimi nimenunua juzi tu ila mkoani
Nimekuta shat 184
Nikachambua Kali grade zikatoka 54
Ndo hizi ambazo zinauzwa 8000-10000Kwann zinatitwa grade 1 Halafu kali zinakuwa chache sana hivyo
Kuna kazi moja imetoka Ni balaa Bila 8000 siitoiHizo 54 ukiuza una 540,000 zilizobaki uza 5,000 kila moja
Niliwahi kuvunja la mashuka lenyewe wameandika mashuka 46 kwa juu ila nilipofungua nikakuta 43...sijui waga wananyofoaAiseeee.
Kwahiyo huwa wanajaza furushi tu
Hizi hesabu zako bado sijaona logic, kwamba 54 ukiuza unapata sh540,000 na zilizobaki 130 unauza sh650,000 jumla inakuwa sh. 1,190,000. hii faida basi ni nzuri kama kweliHizo 54 ukiuza una 540,000 zilizobaki uza 5,000 kila moja
Ofisi yako iko wapi!?Kuna kazi moja imetoka Ni balaa Bila 8000 siitoiView attachment 1722850View attachment 1722851
hapo umezianika ni baada ya kuzifua au unauza, ila shati ni nzuri zinalipaNdo hizi ambazo zinauzwa 8000-10000View attachment 1722849
Hujaona logic kivipi!? Faida ni nyingi sana?Hizi hesabu zako bado sijaona logic, kwamba 54 ukiuza unapata sh540,000 na zilizobaki 130 unauza sh650,000 jumla inakuwa sh. 1,190,000. hii faida basi ni nzuri kama kweli
hapo umezianika ni baada ya kuzifua au unauza, ila shati ni nzuri zinalipaNdo hizi ambazo zinauzwa 8000-10000View attachment 1722849
Kwa hali hii ya maisha ya Sasa hakuna wa kukupa 10000..akija na 7000 unampa akija na 6000 nako itabidi umpe tu Mambo yenyewe yashavurugikaHizi hesabu zako bado sijaona logic, kwamba 54 ukiuza unapata sh540,000 na zilizobaki 130 unauza sh650,000 jumla inakuwa sh. 1,190,000. hii faida basi ni nzuri kama kweli
Jumamosi naanza kwenda nazo mnadaniHujaona logic kivipi!? Faida ni nyingi sana?
Hiyo pesa huipati kwa mara 1, unapouza rejareja hapo ni kidogo kidogo, km ukiwa na soko la uhakika, pesa ndio unaiona vizuri, ila mzunguruko mdogo, unachelewa kupiga mpunga hapo hapo ule na matumizi ya kila siku. Tofaouti na kuipata vuuup.