profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,133
Wakulungwa, gari yangu bodi yake imechoka sana. Ni chimbo gani naweza pata bodi iliyokatika hali nzuri, na bei gani?
Gari ni RUNX.
Gari ni RUNX.
shukrani mkuuNenda Tandale
Gari za dar bwana pasua kichwa sana yaan bodi inachakaa vibaya Sana inalika na chumvi, ndio maana Mimi gari za mkononi huwa nachukua Dodoma, mwanza na Arusha gari dar sizitaki kabisa.Wakulungwa, gari yangu bodi yake imechoka sana. Ni chimbo gani naweza pata bodi iliyokatika hali nzuri, na bei gani?
Gari ni RUNX.
View attachment 2860756View attachment 2860757View attachment 2860759View attachment 2860760
Je,inawezekana mafundi umeme wakahamisha mifumo ya umeme kwenda bodi mpya bila matatitzo?shukrani mkuu
Nami nimepewa ushauri huu.hofu yangu kuu ni mafundi wa kuhamishia waya na mifumo ya umeme ikafanya kazi kama gari ilivyokuwa mwanzo,je inawezekana?Nenda Tandale
Mafundi wazuri wapo mkuu, gari inarudi kama mwanzoNami nimepewa ushauri huu.hofu yangu kuu ni mafundi wa kuhamishia waya na mifumo ya umeme ikafanya kazi kama gari ilivyokuwa mwanzo,je inawezekana?
cha kujua kwanza ni je body zipo,na bei gani,,mambo ya ufundi,kuna gereji nyingi siku hizi za wachina,hata wabongo hawashindwi kuhamisha engine na gear box,gari nyingi unazoona barabarani engine na body sio vile vilivyokuja pamoja.Nami nimepewa ushauri huu.hofu yangu kuu ni mafundi wa kuhamishia waya na mifumo ya umeme ikafanya kazi kama gari ilivyokuwa mwanzo,je inawezekana?
sidhani kama kuna ugumu,gereji za wachina.Je,inawezekana mafundi umeme wakahamisha mifumo ya umeme kwenda bodi mpya bila matatitzo?
au ndo unamaliza shida ya bodi unaanza kupambana na matatizo ya mfumo wa umeme?