inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 500
- 420
Habari wana jf.Nimekuwa nikipita pita kupatana.Unakutana na gari linaonekana lipo order sana,ila bei yake ni ndogo sana.Kuna muda huwa napata mashaka huenda gari hizo zimeibiwa.
Naombeni ushauri je naweza kujihadhari vipi,endapo gari kweli ni zima ila labda lina simtofahamu ili nisije kuingia kwenye migogoro nq vyombo vya sheria.
Naombeni ushauri je naweza kujihadhari vipi,endapo gari kweli ni zima ila labda lina simtofahamu ili nisije kuingia kwenye migogoro nq vyombo vya sheria.