Chile miners' rescue underway!!!!

Chile miners' rescue underway!!!!

Waokolewaji wako fit emotionally kuliko waokoaji
 
Miners-10-Oct_1736324a.jpg
Waweza ona juhudi za Serikali katika kuokoa maisha ya watu wao waliokwama katika Mgodi tangu Agost 5, Natamani Serikali makini kam hii.
 
Chile ni moja ya nchi za kuigwa, jamaa wanajali sana watu wao!! utaona jinsi gani hata rais wao yuko pale usiku anahamisha watu, anawapa pole watu na kuwatia moyo kuwa yuko nao siyo hii mijitu yetu ya Tanzania inasahau upande mwingine wa shilingi, wao ni mali tu basi.
 
Ilu[ATTACH=CONFIG said:
15148[/ATTACH]lu;1145221]
Waweza ona juhudi za Serikali katika kuokoa maisha ya watu wao waliokwama katika Mgodi tangu Agost 5, Natamani Serikali makini kam hii.

Sijui lini tutafikia kuwa na serikali makini kama hii. Hawa watu wametengeneza historia kwa mafanikio waliyofikia kwa kuwaokoa hawa watu. I could not sleep all the night long nikiangalia hili tukio live, it was really touching.

Ingekuwa huku kwetu, Rais angetangulia kupeleka maua kwenye machimbo kwa maana ya kwamba hao watu waachwe wafe tu kwani serikali haina hela za kuweza kuwaokoa.

Tiba
 
The relatives of the miners, perhaps superstitiously, have seen plenty of good omens in the numbers: 33 miners trapped - found on August 22, the 33rd week of the year; Plan B rescue shaft completed after 33 days of drilling; today's date 13/10/10, which adds up to... yep.
 
Sijui lini tutafikia kuwa na serikali makini kama hii. Hawa watu wametengeneza historia kwa mafanikio waliyofikia kwa kuwaokoa hawa watu. I could not sleep all the night long nikiangalia hili tukio live, it was really touching.

Ingekuwa huku kwetu, Rais angetangulia kupeleka maua kwenye machimbo kwa maana ya kwamba hao watu waachwe wafe tu kwani serikali haina hela za kuweza kuwaokoa.

Tiba

Yaani mkuu nilmetizama nikatizama nimeacha wameshaokoa wawili, hadi nimechelewa kazini for half hour. Machozi ya kiume yamenitoka kabisa. Na wamesema kabisa ni kwa mara ya kwanza jambo hili la kishujaa limetokea, rais na firs lady walikuwepo na viongozi wengine waandamizi, akiwemo waziri mwenye dhamana. Keep it up Chile. Da wake zao na watoto wameona kama miujiza. Pia waliookolewa hasa yule wa pili was so energetic kwa furaha akishukuru. Big up Chile.
 
FOR SURE its so touching, mpaka rais kukesha si mchezo,wameonyesha uzalendo wa hali ya juu. ingekuwa huku kwetu wangefia humo, what a shame.

wawaaaaaaa chile,keep the spirit alive
 
Mimi siwezi kufikiri wa wanasiasa wachache ambao Tanzania inaweza kujifunza kutoka kwa baadhi ya masomo ya Chile Waziri Madini, Laurence Golborne. guy hii imekuwa kuna siku 1 kuratibu na assuring kuwa rasilimali za kutosha na imebakia katika unyenyekevu. Hakuna style Ngeleja "Mimi kuokolewa ya dunia". Alikubali jukumu na kupitiwa na kwa alama ya.

Operesheni inaonekana kuwa ni pamoja na mimi kwenda kuangalia ni juu ya habari za mitaa.
Guys hawa itakuwa OK!
 
kuna wanahabari 1500 wamepiga kambi pale kutoka nchi 39 duniani....imagine...hii ni kwa mujibu wa CNN

halafu sasa unaambiwa kwa wale waliokuwa na mke, kisha nanyumba ndogo., wote wanaenda pale kuclaim their man....u can imagine unafikiria kutoka lakini juu hali ya hewa imechafuka ki ivyo
 
kwetu jamaa angesema yuko busy na kampeni,wawaache shimoni mpaka uchaguzi upite.
 
kuna wanahabari 1500 wamepiga kambi pale kutoka nchi 39 duniani....imagine...hii ni kwa mujibu wa CNN

halafu sasa unaambiwa kwa wale waliokuwa na mke, kisha nanyumba ndogo., wote wanaenda pale kuclaim their man....u can imagine unafikiria kutoka lakini juu hali ya hewa imechafuka ki ivyo

dah! Mzee umefikiria mbali. Inawezekana ikawa kweli
 
Osman Araya yupo nje tayari - Ni miner wa sita kutolewa ardhini!

Hii operation nadhani itaweka record ya karne!
 
kwetu jamaa angesema yuko busy na kampeni,wawaache shimoni mpaka uchaguzi upite.

Please please this is not a political issue. Stop associating this dramatic event with politics. Kama una haja sana na mambo ya siasa kapost kwenye forum ya siasa. We're witnessing probably the greatest escape in recent times, halafu unatuletea mambo ya siasa za bongo hapa?. How come kampeni za uchaguzi Tanzania zinaingia hapa? Wabongo bwana. Kila kitu siasa.
 
Claudio Yanez ndio naona anatolewa sasa hivi. Anakuwa mtu wa nane kutolewa.
 
Ni North America ndio imesaidia kuleta mtambo! (capsule and a big crane!) jamani! wenyewe walisha chemsha walikuwa bado wanakuna vichwa! it is absolutely miracle! naona Mario Sepulveda ni wa pili na ndio anatoka sasa! Bless!!! What a cute wifey! !

LoyalTzCitizen nasikia capsule imetengenezwa Austria?
 
waziri wa afya naona anatoa speech sasa, inadaiwa waliobaki ni wale wenye mapresha na wanaoumwa
 
Back
Top Bottom