Kitaeleweka
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 394
- 88
Chief-Mkwawa ni zaidi ya msaada kwani ni mwalimu pia kwetu tunaoibukia kwenye hii fani. thank u very much bro n live long.
Last edited by a moderator:
Wakuu naombeni mnifahamishe nimesmatika na vodafone v685/alcatel ila inagoma kudownload baadhi ya application google play mfano instragram kila nikibofya option ya install inandka iv '' your device is not comptible'' je hapo natakiwa nifanyeje? Cc CHIEF MKWAWA
nilitoa wazo kwa mchangia mada flani kua Chief-Mkwawa ni shujaa wa hili jukwaa naona lile wazo la kutoa thread limefanyiwa kazi
hongera sana chief mkwawa bila ya kuwasahau mashujaa wengine kwenye jukwaa hili wakiwemo Njunwa Wamavoko
mwl rtc pamoja na
secret service
Wakuu naombeni mnifahamishe nimesmatika na vodafone v685/alcatel ila inagoma kudownload baadhi ya application google play mfano instragram kila nikibofya option ya install inandka iv '' your device is not comptible'' je hapo natakiwa nifanyeje? Cc CHIEF MKWAWA
Ingia google search instagram apk utapata set up yake, idownload then install manually itakubali.
Nashukuru mkuu nimefanikisha asante sana!
Haina uwezo mkuu alaf cha kushangaza droid version yake ni 4,4 kitkat