Chief Mkwawa ana mchango mkubwa

Chief Mkwawa ana mchango mkubwa

Respect Chief-Mkwawa

Inabidi tukufanyie interview siku moja humuhumu ili ujibu maswali ya wadau wengi kuhusu wewe na ujuzi wako.
 
Last edited by a moderator:
Much respect to you chief....unaweza jamaañgu.
 
Naunga mkono hoja, mm huwa nauzingatia sana ushauri wake humu jf na nje ya jf pia.
Mungu akupe maisha marefu Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
pongezi hizi zimfikie pia mwlrct
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi naunga mkono hoja isipokuwa neno moja kwake, anapewa likes tu kwanini yeye hatowi likes? hajawahi kupendezwa na hoja ya mwana jukwaa yeyote? Hebu fikiri juu ya hilo Chief-Mkwawa

may sound rude lakini hakuna anaelazimisha mtu kulike au kutolike, au kuchangia au kutochangia. Labda ndo style yake
 
Last edited by a moderator:
may sound rude lakini hakuna anaelazimisha mtu kulike au kutolike, au kuchangia au kutochangia. Labda ndo style yake

Wala sijamlazimisha na wala mimi siyo wa kwanza kumsema juu ya hilo. Kama ndiyo style yake its ok.
 
sijawahi kuukosa msaada wa chief hapa jukwaani nitoe pongezi na shukran zangu za dhati kwako



pia siwezi kumsahau mwalimu rct naye kiukweli anamsaada wake kwa wanajamii.
 
jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
 
Hata mimi naunga mkono hoja isipokuwa neno moja kwake, anapewa likes tu kwanini yeye hatowi likes? hajawahi kupendezwa na hoja ya mwana jukwaa yeyote? Hebu fikiri juu ya hilo Chief-Mkwawa

Kuhusu likes alishawahi kuulizwa nakusema kwamba yeye muda mwingi akiingia JF huwa anatumia brower kama opera hivyo ni ngumu kulike
 
Last edited by a moderator:
jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
Nenda kweny setting mkuu...kweny controls kuna optiona ya kutumia keyboard au joystick(pad)..
Select joystick afu fany configuration ya key moja moja kadri unavyopenda..
 
Jamaa nafurah kuona anasaidia hata akiwa crushed n moyo wa kipekee sana,uendeleze na kweli wewe n Chief
 
Back
Top Bottom