Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Jamaa ni messi wa hili jukwaa. Ni kama useme anajua kila kitu
Sio mess I ni Gaucho
Jamaa ni messi wa hili jukwaa. Ni kama useme anajua kila kitu
Jamaa ni Lissu katika lile jukwaa.
angefaa sana kuwa waziri wa wizara ile ya teknolojia badala ya yule kichwa nazi aliyeko
hongera zake. Ila napenda kumshauri awe anatembelea na majukwaa mengineyo.
Jamaa ni messi wa hili jukwaa. Ni kama useme anajua kila kitu
huu ni miongoni mwa uzi umaotakiwa kuwa sticky .. mahususi kwa ajili ya kuwaonesha jamaa zetu tunautambua mchango wao katika jukwaa hili..
long live Chief-Mkwawa
mwl-rct
cybertec
na wengineo