Chidi Benzi huyo

Chidi Benzi huyo

Sasa ndio ushangae haya ni mabadiliko ya hii wiki moja tu...teh teh teh!!!
Daaah kama badiliko hilo ni la wiki moja basi tuandae michango ya rambirambi baada ya mwezi mmoja....
 
Unaweza kuta ni ngoma hafu unasakiziwa unga, angeenda kupima fasta ili ikiwa ndiyo aanze dozi shuta.
 
Kabebeshwa sembe weee na akina Nassoro Mangunga, hadi mwisho wa siku kaanza kulamba mwenyewe. Sasa kwisha habari yake, Nassoro anajiachia na Masogange wala hamkumbuki.
Ova.
 
Kabebeshwa sembe weee na akina Nassoro Mangunga, hadi mwisho wa siku kaanza kulamba mwenyewe. Sasa kwisha habari yake, Nassoro anajiachia na Masogange wala hamkumbuki.
Ova.

alibeba toka ilala mpaka kinondoni sio?kwa historia huyu jamaa hajawai kusafiri nje labda ndani.
 
Kitadondoka pia

LMFAO......***** walahi wewe na huyo jamaa uliye mkoti mnajua kuvunja watu mbavu.yaani niko zangu maeneo nalainisha koo kwa castle bariiiiidi,nimecheka mpaka basi,nashukuru kelele za mziki zilimeza sauti ya kicheko changu,otherwise majirani wangesikia.eti kipini kitafanya nini?!.
 
alibeba toka ilala mpaka kinondoni sio?kwa historia huyu jamaa hajawai kusafiri nje labda ndani.


mangunga11.jpg
Matomaso kama ninyi inabidi mjibiwe kwa picha. Huyo ni Chid na Mangunga.
Ova.
 
Mi ndo maana na mkubali dogo hamidu alijiimbia,....wanaosmoke na Kurole wote nawacontrol
 
LMFAO......***** walahi wewe na huyo jamaa uliye mkoti mnajua kuvunja watu mbavu.yaani niko zangu maeneo nalainisha koo kwa castle bariiiiidi,nimecheka mpaka basi,nashukuru kelele za mziki zilimeza sauti ya kicheko changu,otherwise majirani wangesikia.eti kipini kitafanya nini?!.

Usifanye mchezo na sembe, waulize watumiaji, kimepukutika kila kitu hadi nguo zitapukutika bila kusahau kipini
 
Chidi kabaki kichwa tu.....bahati mbaya kichwa huwa hakikondi
 
Back
Top Bottom