Chidi Benzi huyo

Chidi Benzi huyo

nawachukia mapapa wauza unga! nachukia serikali ya ccm kushindwa kudhibiti hili suala la unga, 2tawapoteza wengi!
 
Wabongo bana tuache kuwa negative tu. Wimbo mpya Chid Beenz kachana vibaya sana tumpe credit zake. Matatizo yake ya kimwili hayatuhusu
 
Aisee hivi ni kwanini binadamu huwa hatujifunzi toka kwa wenzetu...?anatia huruma.
 
Hahahaha..chid benz..king kong..la familia....kawa chid benz fido dido...
 
Nani amsaidie sasa?? Ray C?? Akaombe msaada kwa mkuu

Huyo alikuwa na special relations....Mbona Kina Langa...Yule dogo wa chamber squad..Aisha madinda na maelfu ya vijana waateseka kwa unga.....Chid....na TID ..Sindio hawa wanamtukanaa ray c aki washauri wapate Tiba ?
 
Back
Top Bottom