real toxic
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 533
- 104
duuuuh.....!!!!!!...Mbona kama anamajipu...
Mawingu fm wamemfanyaje tena?
Ni bora kuhalalisha gongo kuliko CCM iliyohalalisha Sembe!
Madhara ya dawa hayo!Chid huyu mwanamuziki?Kawaje jamani?
Jamani msaada wa haraka unahitajika hapo, au kijana tunampoteza hata 2015 hafiki.
Wandugu, huyu mtoto babaake hayupo humu JF?
Wabongo bana tuache kuwa negative tu. Wimbo mpya Chid Beenz kachana vibaya sana tumpe credit zake. Matatizo yake ya kimwili hayatuhusu
Atakua ndugu yake, mboa yeye mwenyewe nimelimuona wiki iliyopita mwenge stendi iliyovunjwa hayuko hivyo?
Mbona wewe unatoa harufu watu hatusemi?Huyu Dayadomo naye, hivi unadhani hatujui kuwa ushauza roho yako!!!
Tumechoka bana kila picha lazima uoneshe salamu yenu khaaaa!!!