MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jul 3, 2012 #2 Huyo sio Mr T wa enzi hizo, isijekuwa nae kafulia kiasi hichi
ummu kulthum JF-Expert Member Feb 6, 2012 2,785 1,317 Jul 3, 2012 #4 life linabana au ndio fashion mpya ati?
Elia JF-Expert Member Dec 30, 2009 3,425 567 Jul 3, 2012 #6 nimeipenda hii imenikumbusha mambo flani flani :bolt::bolt:
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jul 4, 2012 #7 Huyo lazima atakuwa kuku mtamu.. Huku kwetu mombasa huyo angekuwa bilionea, inavyoonekana bado kitu kipyaaaaaaaaa.
Huyo lazima atakuwa kuku mtamu.. Huku kwetu mombasa huyo angekuwa bilionea, inavyoonekana bado kitu kipyaaaaaaaaa.
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Jul 5, 2012 #11 Pamoja na kuwa ni maisha yamempiga bado angeweza kuivaa suruali yake fresh bila kujidhalilisha
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 6, 2012 Thread starter #12 Jamani hiyo T Shirt vipi, yaani kaitoboa pale ili atangaze
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Jul 6, 2012 #13 iron2012 said: wapo watakaoiga wakijua ni new fashion Click to expand... Na kama imetokea marekani lazima waige
iron2012 said: wapo watakaoiga wakijua ni new fashion Click to expand... Na kama imetokea marekani lazima waige
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Jul 7, 2012 #15 Mfereji wa kwenda Boflo uleeeeeeeee!