habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
- Thread starter
- #201
Hahahaha poleni sanaZaa wewe basi kama imekuuma sana
Hahahaha poleni sanaZaa wewe basi kama imekuuma sana
Uko sahihi mkuu %100Hata aliezaa nae pia ni limbukeni tuu.
Basi umebarikiwa kwa picha tuAre u sure ni Avatar hii
AppreciateBasi umebarikiwa kwa picha tu
Age is nothing but number.....Diamond kinachomuumiza sana ni brand yake maana akikumbuka kilichomkuta baada ya kuachana na wema ndo icho kitakachomkuta pindi atako mdrop zari, lakin in reality hakuna kijana yyt anayeweza kivumilia kukaa na mwanamke aliyemzid umri kiasi icho na mitoto juu. Kwa navohisi domo itakuwa alikuwa kashaanza kutengeneza maisha mapya na hamissa kisiri siri ili baadaye hata ikija kuvuma iwe rahisi kumuacha zari sema ndo ivo mipango imevurugika kabla. To be honest hata mm siwezi kuvumilia kuishi na mwanamke anaelekea menopause wakati mm ndo dam mbich kabisa.