Kahtaan tunapenda sana kukwepa ukweli kwa kusingizia nchi za magharibi hasa USA lakini ukweli utasimama BAADHI YA MAFUNDISHO KTK MADRASA NA MAHUBIRI KTK MISIKITI YA WATU WANAOJIFANYA KUTENDA KWA NIABA YA MUNGU NI CHANZO CHA SHIDA HIZI.
No matter what hakuna halali ya wengine kujiona ni watakatifu kuliko wengine na kujihalalishia hata kuua hata kuhukumu watu wa kada nyingine kisa tu unamuona legelege wa imani au si wa imani yako.
Dunia hii ilipo sasa mafundisho ya watoto na vijana wa kiislam ya tazamwe upya bila unafki kusaidia jamii. Lakini kama watu wakiendelea kujifungia katika elimu ya karne ya 6 shida zitaendelea
Ukweli upi uliosema wewe au Mtu yyy HAPA JF ambao UMEAMBATANA NA USHAHIDI NIKAUKATAA?
NAIONYESHE MMOJA TU km wewe ni mkweli.
Huna basi kaa kimya.
Mafundisho yapi Wanayopewa hao Vijana wa Madrasa ambayo wewe unaona hayafai km sio Unafiki na Chuki za Wapumbavu Wachache kwa WAISLAMU?
Mimi ni mmoja wa Vijana wa Madrasa na Kazi niifanyayo inawafaa Watu wote bila kujali imani zao wala itikadi zao.
Na Waislamu km Mimi tuko BILION na Zaidi.
Mnaangali Wapumbavu wachache walionunuliwa na USA na Mke wake Israel KUUA waislamu Kisha Mnapakazi huo ndio UISLAMU!
Toka lini ADUI wa USA Akaua WAISLAMU?
Mataifa ya Magharibi Yameanza Kuua Waislamu Miaka Mingapi Leo?
Na haya mataifa yote VIONGOZI WAO ni WAUMINI WA KANISA.
Nitajie Nchi MOJA TU ambayo ina RAIS MUISLAMU AU Kiongozi ambae ni MUUMINI WA KIISLAMU iliokwenda KULIPUA MABOMU Kwa mandege makubwa na KUUA MAALFU YA Raia wa Nchi inayotawaliwa na Kiongozi wa Kigalatia.
Jibu ni HAKUNA! Lkn kwa sababu nyie Mna Maradhi ya Selective understanding lzm Muone Waislamu ndio wabaya Japo kuwa WAO NDIO wanaouawa na HAWA MAKAFIRI KILA SIKU.
We Tulia tu lkn iko siku inakuja Itabidi Mkubali Ukweli tu hata kama Mtakasirika mpk mpasuke.
Hakuna mataifa MAGAIDI km USA na ISRAEL. Full stop.
Soma Historia kijana. Usijadili kwa Jazba. Utaaibika Bure
Unadhani UISLAMU ni km Ugalatia wa kuchakachuliwa kila siku?
Ovyo sana wewe mtoto.