Chibok: Miaka Miwili Baadaye

Chibok: Miaka Miwili Baadaye

Hawa boko haram wenyewe ndo maharam....
ukiangalia walio tekwa na kuumizwa ni wa dini yao sasa kama sio uharamu huo ni nini? Ni Mungu yupi wanampigania kama sio ushetani tu..... wawachukue JWTZ wakasafishe huo msitu....


hapa inaonesha kuna siri imejificha...Kama ingekuwa ni uislamu wangeheshimu msikiti, na hao mabinti wa kiislam wangewaacha lakini boko haram hawaangalii hilo. Zile zama za Freemason kutawala dunia ndizo hizi...kuna mikono ya watu ambao wanapenda damu zimwagike ili wapate lao......

Ktk hii dunia kuna viumbe waajabu sana, wengine wanapenda tuu kuua, wengine wanapenda tu kuona mtu akiteseka wengine wanapendak uona damu.

Ni kama Marekani wengi wameathirika sijui na nini utakuta mtu anatamani tuu kuua au kumtesa mtu alafu akimuua anamzika katika uwa wake, au chini ya nyumba.
 
Ukweli upi uliosema wewe au Mtu yyy HAPA JF ambao UMEAMBATANA NA USHAHIDI NIKAUKATAA?
NAIONYESHE MMOJA TU km wewe ni mkweli.
Huna basi kaa kimya.

Mafundisho yapi Wanayopewa hao Vijana wa Madrasa ambayo wewe unaona hayafai km sio Unafiki na Chuki za Wapumbavu Wachache kwa WAISLAMU?

Mimi ni mmoja wa Vijana wa Madrasa na Kazi niifanyayo inawafaa Watu wote bila kujali imani zao wala itikadi zao.
Na Waislamu km Mimi tuko BILION na Zaidi.

Mnaangali Wapumbavu wachache walionunuliwa na USA na Mke wake Israel KUUA waislamu Kisha Mnapakazi huo ndio UISLAMU!

Toka lini ADUI wa USA Akaua WAISLAMU?
Mataifa ya Magharibi Yameanza Kuua Waislamu Miaka Mingapi Leo?
Na haya mataifa yote VIONGOZI WAO ni WAUMINI WA KANISA.

Nitajie Nchi MOJA TU ambayo ina RAIS MUISLAMU AU Kiongozi ambae ni MUUMINI WA KIISLAMU iliokwenda KULIPUA MABOMU Kwa mandege makubwa na KUUA MAALFU YA Raia wa Nchi inayotawaliwa na Kiongozi wa Kigalatia.
Jibu ni HAKUNA! Lkn kwa sababu nyie Mna Maradhi ya Selective understanding lzm Muone Waislamu ndio wabaya Japo kuwa WAO NDIO wanaouawa na HAWA MAKAFIRI KILA SIKU.
We Tulia tu lkn iko siku inakuja Itabidi Mkubali Ukweli tu hata kama Mtakasirika mpk mpasuke.

Hakuna mataifa MAGAIDI km USA na ISRAEL. Full stop.

Soma Historia kijana. Usijadili kwa Jazba. Utaaibika Bure

Unadhani UISLAMU ni km Ugalatia wa kuchakachuliwa kila siku?
Ovyo sana wewe mtoto.
Ingewezekana kama nchi za Islam zingekuwa super power ila Yemen wanapata cha moto kutoka kwa saud arabia
 
Ingewezekana kama nchi za Islam zingekuwa super power ila Yemen wanapata cha moto kutoka kwa saud arabia
Sasa ndio umeandika Uharo gani hapa!
Unajua Saudi wanapigana na Watu gani!
Hio vita iliokuwa huko Yemen Unajua hata chanzo chake!? Nj kina nani wanapigana Na Nani, basi Kuropoka tu kwa sababu mdomo mali yako.

Waislamu hatuna tabia ya Kuvamia Nchi za Makafiri na Kuua watoto na wanawake Ovyo. Hio ni kazi ya Makafiri km USA na ISRAEL.
Ndio maana Huwezi kukuta Nchi ya Kiislamu imekalia Kimabavu Nchi yyt isio ya Kiislamu Hata km Ni Nchi njaa km hii ya Kwetu. Lkn Makafiri Wanavania Killa Penye Pesa bila kujali Wanaua wangapi.
 
Back
Top Bottom