Chibok: Miaka Miwili Baadaye

Chibok: Miaka Miwili Baadaye

Nigeria: Dokubo-Asari Says Chibok Kidnap a Hoax



By Victor Edozie


Port Harcourt — Leader of the Niger Delta Peoples Volunteer Force Mujahid Dokubo Asari has accused the Borno State Governor Kashim Shettima of faking the abduction of over 200 students of Chibok Secondary School.

Dokubo, who spoke at a rally organised in honour of late Isaac Adaka Boro in Port Harcourt at the weekend said nobody was abducted in Chibok, saying it was a propaganda perpetrated by the North against President Goodluck Jonathan.

"No girls were kidnapped. We know that no girls were kidnapped. It was an arrangement by APC (All Progressive Congress) and Shetima to stop the state of emergency. He has failed. Let Shetima bring back the girls where he is hiding them. He knows where the girls are and when they eventually come back we will conduct a DNA test to march with their parents," Dokubo alleged.

He criticised the #bringbackourgirls campaign and rallies saying it was deceitful.

"We are sending a message to the hypocrites. In Abuja some people were talking about bring back the girls. Where were they when Odi was destroyed and thousands of people killed at Obuama?" he asked.

Nigeria
My God...
 
Wakuu:
Mimi nailaumu Marekani. Ni juzi tu wametoa taarifa ya kutamba eti wanapeleka wataalam wa kijeshi 800 pamoja na vifaa vya kisasa vyenye kutumia utaalam wa hali ya juu (drones)nchini Uganda ili kumsaka Josef Kony.
Sasa Kony ni mtu mmoja wanatumia gharama kubwa kwa nini wasitumie gharama hizo kuwatafuta hao wasichana wetu 200? ambao hadi sasa hawajulikani walipo. HUO NI UNAFIKI.
Sio unafki. Kiufupi ni kwamba ukiona vita yoyote taifa la kimagharibi limejikita jua kuna maslahi.
Mdogo wangu huniambia kila siku no free lunch. Ndio haya sasa. Adui si wa kwako hayupo nchini mwako ila unatumia mateknolojia ya hali ya juu na gharama kubwa kumuangamiza. Dini imekuwa mwanvuli tu. Ila ndani yake ni ushetani mtupu.
 
Sio unafki. Kiufupi ni kwamba ukiona vita yoyote taifa la kimagharibi limejikita jua kuna maslahi.
Mdogo wangu huniambia kila siku no free lunch. Ndio haya sasa. Adui si wa kwako hayupo nchini mwako ila unatumia mateknolojia ya hali ya juu na gharama kubwa kumuangamiza. Dini imekuwa mwanvuli tu. Ila ndani yake ni ushetani mtupu.
"DINI IMEKUA MWAMVULI TU,AMBAO NDANI YAKE NI USHETANI MTUPU"
 
150630123207_chibok_624x351_afp.jpg
FONT][FONT='Times New Roman'][COLOR=

Lakini inawezekanaje katika dunia ya sasa kwamba hakuna msichana hata mmoja alieweza kuokolewa?
Miaka miwili iyopita wiki kama hii , wasichana 267 walitekwa nyara kutoka shuleni kwao na wanamgambo wa Boko Haram .
Suala lililolaaniwa vikali kimataifa na kuchochea kampeni ya mitandao ya kijamii iliyojulikana kama #bringbackourgirls na kuweka wazi udhalimu unaotekelezwa na makundi ya uasi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

160413171845_chibok_school_624x351_bbc.jpg

Shule ya Chibok ilivyobakia sasa
Zaidi ya vijana 200 wa kike hawajapatikana hadi leo .
Katika ripoti hii maalum mwandishi wa BBC Martin Patience alisafiri hadi Chibok kuongea na familia za wasichana na kutembelea shule ambako walitekwa nyara.

160413172300_chibok_school_624x351_bbc.jpg

Msitu hapa ni mkubwa .. na ni rahisi sana kwa wanamgambo wa Boko Haram kuvamia msafara wowote wa magari ya kijeshi
Barabara ya kuelekea Chibok imejaa vikwazo na hatari hata hivyo tulisafiri katika msafara wa magari ya kijeshi tukipitia vijiji vilivyotelekezwa .. kimoja baada ya kingine
Taswira
Kile kinachoonekana kama msikiti unaonekana kupigwa risasi kila mahali , Paa lake limeng'olewa ,
Hiki kilikuwa ni kijiji ambacho huenda kilikua ni makaazi ya makumi kadhaa familia , lakini kwa sasa hakuna mtu anayeishi hapa na vichaka vimemea tena kijijini hapa
Msitu hapa ni mkubwa .. na ni rahisi sana kwa wanamgambo wa Boko Haram kuvamia msafara wowote wa magari ya kijeshi

160413172343_chibok_school_624x351_bbc.jpg

Msikiti wa Chibok
Saa tatu baadae tuliwasili Chibok mahala kulikokuwa zamani soko maarufu la mji ambao kwa sasa halisikiki.
CHIBOK
Lakini wakati huo Boko Haram walipokuja kuwateka mamia ya wasichana wa eneo hili walibaki na kumbukumbu za kutisha za usiku huo …..
Wazazi hapa wamebakia kusubiri majibu ya wapi waliko watoto wao.
Miongoni mwao ni Mariam Abubakar.
Mwanaye Han Satu alikua na umri wa miaka 17 alipotekwa … alipenda mitindo

160413172215_chibok_school_624x351_bbc.jpg

Msafara wa jeshi la Nigeria
''Msichana wangu likua mchapakazi . Alipenda utani na alipenda mavazi.''
''Muda mfupi tu kabla ya kuchukuliwa alikua ameniomba nimnunulie mashine ya kushona nguo''alisema Myrama Abubakar.
Mbele ya nyumba yake ya matope Maryama alivuta nguo alizoacha binti yake .
Alichukua vazi alilolipenda na kuliweka kwenye magoti yake .

160413171543_chibok_school_624x351_bbc.jpg

Chibok
''Hii ni gauni aliyotakiwa kuvaa kwenye harusi ya rafiki yake siku moja baada ya kumaliza mitihani .
Lakini mitihani haikufanyika . Nitaitunza gauni hii mpaka atakaporudi alisema mzazi huyo.
Na baade nilizungumza na Binta AbuBakar mama yake Maryam ambaye sasa angekua na miaka 19 -

160413172124_chibok_school_624x351_bbc.jpg

Kundi la waandishi wa habari
''Kabla ya kwenda shuleni siku ile alikua anafanya kazi katika duka angu la chakula . Aliweza kufanya mauzo ya dola hamsini! alikua mzuri sana kuwavutia wateja , alikua mfanyabiashara hodari . Hizii ndizo nyakati za mwisho nilizokua naye.
Naomba binti yangu arejee akiwa hai . Lakini kama haitakua hivyo natumai roho yake italala kwa amani . Natumai kumbu kumbu za kutisha alizoziona wakati alipotekwa yatakua ndio mateso yake ya mwisho ,alisema bi AbuBakar.

160413173149_chibok_girl_picture_640x360__nocredit.jpg

Mwanaye Han Satu alikua na umri wa miaka 17 alipotekwa … alipenda mitindo
Miaka miwili baadaye hakuna taarifa kuhusu waliko wasichana wa Chibok - Labda wako Chad ama Cameroon - kuna uwezekano mkubwa wengi wao walilazimishwa kuolewa na wapiganaji.
Maisha yanaendelea kurejea taratibu katika hali ya kawaida mjini Chibok na usalama unaimarika.
Lakini inawezekanaje katika dunia ya sasa kwamba hakuna msichana hata mmoja alieweza kuokolewa?
Hii ni sinema tu na ukweli wa ili tukio upo Washington DC
 
Nchi yoyote yenye malighafi ambayo ni hitaji kuu kwa mataifa ya magharibi au mabeberu....hiyo nchi haitakaa ibaki salama hata siku moja......sote tunafahamu kuwa Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazodhalisha mafuta kwa wingi duniani.....kuiacha Nigeria itulie kwao kunamaanisha kuwa ni kuiacha Nigeria ijipatie maendeleo na hivyo kujitegemea....jambo ambalo ni sumu kwa mataifa ya magharibi....hivyo kikundi cha kigaidi cha boko haram ni kimewekwa mahususi kuihadaa dunia na kuipa serikali ya Nigeria kazi ya kufanya huku ikiacha kushughulika na masuala ya msingi kama taifa....kwa mfano kwa sasa hivi serikali inalazimika kupunguza bajeti kwenye huduma za kijamii kwa ajili ya kutunisha msuli wa bajeti ya ulinzi kwa ajili ya usalama......wakati huo huo serikali inalazimika kuomba mpaka misaada ya kijeshi kutoka kwa mataifa anayodhani kuwa ni rafiki kumbe ni unafiki.......

Ni mpuuzi pekee anayeweza kuamini kuwa serikali na washirika wake wanashindwa kufanya operesheni ya hata week moja ya kuwakomboa hao wasichana kwa muda wote huo.....kipi kinachoshindikana kufanyika kwa jambo hilo.....ukitazama kwa makini huwezi kupata sababu ya msingi ya serikali na washirika wake wanaojiita kuwa ni watetezi wakuu wa haki za binadamu.......

Ikiwa serikali ya Nigeria ndio inadhibiti mipaka yote ya nchii hiyo....hao wapiganaji wa BOKO HARAM wanapata wapi silaha kali kiasi cha kuiogopesha serikali ya Nigeria....au tuseme wapiganaji wa boko haram ni mazimwi wasioonekana kwa macho....??

Kusema imekuwa ni changamoto kubwa kupata taarifa sahihi katika dunia hii iliyojaa propaganda na unafiki wa hali ya juu....lakini jambo la kujivunia ni kuwa muumba ametupa ubongo na ufahamu wa kuweza kuchambua na kutafakari kila habari inayotufikia.....

DUNIA ITAKUWA MAHALI SALAMA KWA KUISHI KAMA KILA TAIFA LITAISHI KATIKA UHALISIA NA KUACHA UNAFIKI......
 
Nchi yoyote yenye malighafi ambayo ni hitaji kuu kwa mataifa ya magharibi au mabeberu....hiyo nchi haitakaa ibaki salama hata siku moja......sote tunafahamu kuwa Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazodhalisha mafuta kwa wingi duniani.....kuiacha Nigeria itulie kwao kunamaanisha kuwa ni kuiacha Nigeria ijipatie maendeleo na hivyo kujitegemea....jambo ambalo ni sumu kwa mataifa ya magharibi....hivyo kikundi cha kigaidi cha boko haram ni kimewekwa mahususi kuihadaa dunia na kuipa serikali ya Nigeria kazi ya kufanya huku ikiacha kushughulika na masuala ya msingi kama taifa....kwa mfano kwa sasa hivi serikali inalazimika kupunguza bajeti kwenye huduma za kijamii kwa ajili ya kutunisha msuli wa bajeti ya ulinzi kwa ajili ya usalama......wakati huo huo serikali inalazimika kuomba mpaka misaada ya kijeshi kutoka kwa mataifa anayodhani kuwa ni rafiki kumbe ni unafiki.......

Ni mpuuzi pekee anayeweza kuamini kuwa serikali na washirika wake wanashindwa kufanya operesheni ya hata week moja ya kuwakomboa hao wasichana kwa muda wote huo.....kipi kinachoshindikana kufanyika kwa jambo hilo.....ukitazama kwa makini huwezi kupata sababu ya msingi ya serikali na washirika wake wanaojiita kuwa ni watetezi wakuu wa haki za binadamu.......

Ikiwa serikali ya Nigeria ndio inadhibiti mipaka yote ya nchii hiyo....hao wapiganaji wa BOKO HARAM wanapata wapi silaha kali kiasi cha kuiogopesha serikali ya Nigeria....au tuseme wapiganaji wa boko haram ni mazimwi wasioonekana kwa macho....??

Kusema imekuwa ni changamoto kubwa kupata taarifa sahihi katika dunia hii iliyojaa propaganda na unafiki wa hali ya juu....lakini jambo la kujivunia ni kuwa muumba ametupa ubongo na ufahamu wa kuweza kuchambua na kutafakari kila habari inayotufikia.....

DUNIA ITAKUWA MAHALI SALAMA KWA KUISHI KAMA KILA TAIFA LITAISHI KATIKA UHALISIA NA KUACHA UNAFIKI......
Aksante..
 
150901175748_somalia_pirate_640x360__nocredit.jpg

Visa vya uharamia pwani ya Somalia vimepungua
Maharamia saba kutoka Somalia wamefungwa jela na mahakama nchini Ufaransa baada ya kupatikana na makosa ya kuteka boti na kuua mmiliki wake mwaka 2011.

Maharamia hao wamehukumiwa vifungo vya kati ya miaka sita na 15 jela.

Waliteka boti la Christian na Evelyne Colombo kwenye Ghuba ya Aden.

Wawili hao walikuwa kwenye safari ya kutalii dunia.

Christian aliuawa na mwili wake kutupwa baharini, naye mkewe akashikiliwa mateka kwa saa 48 kabla ya kuokolewa na wanajeshi wa Uhispania.

Maharamia wawili waliotambuliwa kama Farhan Abdisalamn Hassan na Ahmed Abdullahi Akid, na ambao walidaiwa kuhusika katika kuwatafuta na kuwapa kazi maharamia, walifungwa jela miaka 15.

Farhan Mohamoud Abchir, aliyekuwa hajatimiza umwi wa miaka 18 wakati huo na ambaye alianza kuugua ugonjwa wa kuchanganyikiwa kiakili akiwa gerezani kwa mujibu wa wakili wake, amepewa kifungo cha miaka sita jela.

Mwendesha mashtaka alikuwa amependekeza wafungwe miaka 22.

150901011934_somali_pirates_eyl_640x360_bbc_nocredit.jpg


Wanajeshi wa EU walitumwa kukabiliana na maharamia
Christian na Evelyne walkuwa wameuza mali yao yote kabla ya kuanza safari hiyo.

Waliondoka bandari ya Aden nchini Yemen mapema Septemba 2011 wakielekea Oman boti yao ilipovamiwa na maharamia hao.

Visa vya uharamia vilipungua sana pwani ya Somalia hasa baada ya majeshi ya Ulaya kuingilia kati.

Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, hakuna meli yoyote kubwa iliyotekwa ikilinganishwa na meli 47 zilizotekwa mwaka 2010, visa vilipokuwa juu zaidi.

Chanzo: BBC Swahili
 
Kumbuka wakati wa Jonathan alijikuta hata makamanda wake tena wa ngazi za hui kabisa ni waaminifu kwa BOKO HARAM.

Siku dunia ikiacha kuhubiri unafki na kuhubiri ukweli hasa misikitini mambo hayo yatapata tiba lakini si kwa hali ya sasa

I remember reading a leaked report about Nigerian Army commanders who were allegedly briefing Boko Haram militia about the plans and tactics, as a result Boko haram is always ahead of army.
Its shame for people who show allegiance to killers simply because they are fellow Muslims.
 
Kuna vitu vinatokea Duniani ambavyo vinashangaza.
Huwa najiuliza huo msitu ambao Boko Haram wanaweza kuingia lakini jeshi la nchi lenye resources zote linashindwa kuingia, ni aibu.
Ni rahisi kusoma hii Habari ya hawa mabinti na kuona ni kawaida kwa sababu si ndugu wala jamaa zetu, ila wenye watoto wao wanapitia kipindi kigumu sana.
Kwa mzazi mkuu haihitaji awe mwanao inaumiza sana tena sana
 
Mbona boko haramu walisema wasichana wote wameolewa na wapiganaji wao, kwa hiyo wale mabinti wamenogewa na michi kwa hiyo hawana mpango wa kurejea makwao
Wameolewa kwa idhini ya nani? Wale bado wadogo anayetoa idhini ya kuoa ni bokoharam au wazazi?
 
Nogeria haina wanajeshi?waende kama vile vitani kuwakomboa!
Ni vigumu sana kupambana na magaidi kuliko kupigana jeshi kwa jeshi, hawa huvaa kiraia na wengine wapo uraiani au hata jeshini, mnapopanga kuvamia eneo flani walioko jeshini huwasiliana na wenzio. Hii ni vita ngumu sana
 
Ni vigumu sana kupambana na magaidi kuliko kupigana jeshi kwa jeshi, hawa huvaa kiraia na wengine wapo uraiani au hata jeshini, mnapopanga kuvamia eneo flani walioko jeshini huwasiliana na wenzio. Hii ni vita ngumu sana
jwtz baba lao! but hatutaki kuingilia yasije kutukuta ya kenya na alsgbab bure..Tumezoea amani.Watajua la kufanya
 
Kuna vitu vinatokea Duniani ambavyo vinashangaza.
Huwa najiuliza huo msitu ambao Boko Haram wanaweza kuingia lakini jeshi la nchi lenye resources zote linashindwa kuingia, ni aibu.
Ni rahisi kusoma hii Habari ya hawa mabinti na kuona ni kawaida kwa sababu si ndugu wala jamaa zetu, ila wenye watoto wao wanapitia kipindi kigumu sana.
Hii inauma sana, kumbuka jeshi likiwavamia hawa boko kwa lengo la kuwaokoa ni hatari sana kwa usalama wa mateka
 
Ni vigumu sana kupambana na magaidi kuliko kupigana jeshi kwa jeshi, hawa huvaa kiraia na wengine wapo uraiani au hata jeshini, mnapopanga kuvamia eneo flani walioko jeshini huwasiliana na wenzio. Hii ni vita ngumu sana
Jeshi ni taasisi iliyokamilika sana kimfumo. Ukikuta jeshi lina mamluki hilo ni jeshi dhaifu na bovu kabisa. Tukubali tu kuwa jeshi la Nigeria ni dhaifu.
 
Tena usitaje jambo hilo kabsaa, usa wenyewe wemegwaya wenye tech ya juu sana jwtz ingefanya nini?
mmhhh! natania tu...Ila hawa watu hawa wajinga sana!
Et elimu ya magharib ni haram wakat magari,mabumo,bunduki,simu vyote vimetokana na hiyo elimu ya magharibi.wanataka nn haswa
 
Back
Top Bottom