Chezea Zuma wewe

Chezea Zuma wewe

260088_10150215830499584_1859861_n.jpg

Kumbe ANC wanatumia rangi za magamba
 
No wonder anadharauliwa na raia wa south africa. Nakumbuka siku ya msiba wa Madiba alivozomewa na wananchi wake huku Obama akishangiliwa as if ndo rais wao. He is just extravagant and corrupt, knowing nothing about leadership except marrying, dancing, singing and drinking.
 
ni kawaida ya waafrika kudharau vya ndani na kushabikia vya nje
No wonder anadharauliwa na raia wa south africa. Nakumbuka siku ya msiba wa Madiba alivozomewa na wananchi wake huku Obama akishangiliwa as if ndo rais wao. He is just extravagant and corrupt, knowing nothing about leadership except marrying, dancing, singing and drinking.
 
ni kawaida ya waafrika kudharau vya ndani na kushabikia vya nje
Hicho kitu kingeweza kutokea kwa Madiba mwenyewe au Nyerere?. Ukijidharau utadharauliwa, ukijiheshim utaheshimiwa.
 
Dotworld Usidandie train kwa mbele..rudi kwenye post ya kwanza utaelewa nilichokuwa namaanisha
 
Last edited by a moderator:
DotworldSina swali yaani ZUMA ni noma kwa ngoma za kwao pia hajivungi kabisa hasa hapo kapiga utamaduni kama sio Rais
 
Last edited by a moderator:
DotworldSina swali yaani ZUMA ni noma kwa ngoma za kwao pia hajivungi kabisa hasa hapo kapiga utamaduni kama sio Rais
 
Last edited by a moderator:
Zuma ni Rais mwenye kupendwa sana kule Afrika ya Kusini pia ana ushawishi mkubwa sana hata akaweza kumwondoa Thabo Mbeki kwenye nafasi ya kuwa M/kiti wa ANC,pia Rais Zuma ana elimu ya kawaida tu kule kwao lakini ni mchapa kazi sana pia mila na tamaduni ndiyo mpango mzima kwake kama anavyoonekana kwenye picha hizo.
 
Back
Top Bottom