josephmasamaki
Senior Member
- Apr 27, 2011
- 163
- 84
Last edited by a moderator:
No wonder anadharauliwa na raia wa south africa. Nakumbuka siku ya msiba wa Madiba alivozomewa na wananchi wake huku Obama akishangiliwa as if ndo rais wao. He is just extravagant and corrupt, knowing nothing about leadership except marrying, dancing, singing and drinking.
mamamamamamamamamamamamama mi simo?
Hizo sababu nilizotoa hazijustfy kudharauliwa?ni kawaida ya waafrika kudharau vya ndani na kushabikia vya nje
Hicho kitu kingeweza kutokea kwa Madiba mwenyewe au Nyerere?. Ukijidharau utadharauliwa, ukijiheshim utaheshimiwa.ni kawaida ya waafrika kudharau vya ndani na kushabikia vya nje