shirokurogin41
Member
- Jan 9, 2014
- 7
- 2
MUNGUatawalaani wale wote katika kipindi cha kudai mageuzi wao wamebaki wanapika majungu na kuwatukuza wanyonyaji,wauaji,wahujumu uchumi.n.k
Kijana umepiga ngumi kali sana CHINI YA KITOVU CHA CCM ! Iam confident that KINANA is the next one to go out .
utangoja sana halitatokea
mnapagawa na kinana kila akipita mnatamani mumkabidhi marinda.....
huyo babu mpaka amedhoofu mbona hammwambii apumzike?
Yani ww mi sikubali post zako za kijinga unajifanya ccm kumbe bavicha mkubwa
Yani ww mi sikubali post zako za kijinga unajifanya ccm kumbe bavicha mkubwa
huo moto wa cdm hawa wazee hawauwezi wapumzishwe hasa mzee wa ndovu
mtoto situmii kisamvu cha kopo naona unanipenda sana
hah..inakutisha....?si mlikuwa mnamwita Mwinyi Mtukufu?juzi nilisikia na yule sheikh wa dar mwenye mbwembwe ktk kupindisha domo...akisema mtukufu Rais JK na kumtakia....
Kinakuuma nini sasa cdm ikiw ani Mpango wa Mungu?au wewe ni wa mungu wa underworld...?
Siku Kinana akipigwa Chini itabidi KIBANDA aje hapa atuambie whats not happening!
Haha...kibamba na Zitto wanafanana..sana.Huwa majasho huwatoka na misamiani wanayoipenda,..halafu wakiongoezea na hofu yao kwa majina,badi hata chongo watasema anapima shabaha....Akianguka wansema mbwembwe..HIchi kizazi cha wapelelezi wetu ambao kuwa bora ktk ujasusi ni kuwa kichaa..hata mimi nili mshangaa sana kibanda alipoanza kuwasifia mgamba kama vile kinana ni mtume aliyeshushwa kutoka mbinguni.
akapofushwa na vijisent akasahau kwamba ni mfumo huu mbovu aliokuwa anaukandia akidhani utatakaswa kwa ujio wa kinnana,
sasa kibanda ajitokeze hadharani atuambie ujio wa kinana umeinufaishaje nchi,chama chake na kibanda mwenyewe