shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,325
Habari wadau..
Kwa wenye ufaham hivi cheti cha kumaliza kidato cha nne kisipochukuliwa miaka mingi.. kinakuwepo bado shuleni au kinarudi NECTA...
Nauliza maana nataka kwenda shuleni niliposoma kukifuata.. sass nisije poteza nauli yangu kukikuta hakipo kimesharudi NECTA...
Nilikuwa natumia results slip mda mrefu ya form 4 kwenye mambo yote ya elimu na hata ajira..
Sasa nakihitaji kwa ajili ya application za goverment sector jobs..
Nimespend 5 yrs kwenye sekta binafsi nadhani kwa ujuzi nilioupata nahitaji kumuunga mkono Magufuli kwenye serikali yake kama mtumishi..ambapo wao wanataka vyeti tu sio results slip.
Kwa wenye ufaham hivi cheti cha kumaliza kidato cha nne kisipochukuliwa miaka mingi.. kinakuwepo bado shuleni au kinarudi NECTA...
Nauliza maana nataka kwenda shuleni niliposoma kukifuata.. sass nisije poteza nauli yangu kukikuta hakipo kimesharudi NECTA...
Nilikuwa natumia results slip mda mrefu ya form 4 kwenye mambo yote ya elimu na hata ajira..
Sasa nakihitaji kwa ajili ya application za goverment sector jobs..
Nimespend 5 yrs kwenye sekta binafsi nadhani kwa ujuzi nilioupata nahitaji kumuunga mkono Magufuli kwenye serikali yake kama mtumishi..ambapo wao wanataka vyeti tu sio results slip.