Kuna mahala niliwahi kuskia CS ni mkuu wa mabalozi wote wanaoiwakilisha Tanzania..kwa hiyo ubalozi wa CS ni kwa sababu yeye ni mkuu wa Mabalozi pia.
Pengine sheria imebadilika...utajuaje???Katibu Mkuu mstaafu Luhanjo hakua balozi... so alikua hawasimamii mabalozi? Kwa hoja yako?
Kama nilivyoambatanisha ili kutokuvunja katiba Kwa kuwa Bashiru hakuwa mtumishi wa umma afisa wa kuteuliwa kama katiba inavyotaka hivyo rais alimteua awe Kwanza balozi kukidhi kigezo hicho ndipo awe katibu mkuu kiongozi.
Sio lazima katibu mkuu kiongozi awe balozi Ila ni lazima awe mtumishi wa umma wa nafasi za afisa wa kuteuliwa na Kwa kumteua awe balozi Kwanza imemwezesha kukidhi vigezo vya kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi.View attachment 1713377
Bashiru ni mtumishi halali wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Kote huko alipo ni kwa kuazimwa maarufu chuo kikuu kama Secondment. Akitumbuliwa leo hii atarudi pale chuo kikuu UDSM kuendelea na majukumu yake ya Utumishi wa Umma. Mbona hamfuatilii mambo kabla ya kukosoa?
Pengine sheria imebadilika...utajuaje???
Kwani nimekwambia najua???Hujaona sheria ya utumishi iko hapo incase huijui!
Okay1. Balozi Ombeni Sefue
2. Balozi John Kijazi
3. Balozi Bashiru Ally
4. Balozi.......
Mila na desturi
Amepokonywa u KMK je anabakia na huo ubalozi au1. Balozi Ombeni Sefue
2. Balozi John Kijazi
3. Balozi Bashiru Ally
4. Balozi.......
Mila na desturi