Tunataka na JK naye ajivue gamba pamoja na orodha ya mafisadi wakuu 11 (list of shame ya Mwembe Yanga).
Huo ni usanii kutaka kutudanganya...mbona tangu Rostam aachie ngazi hali haibadiliki? Mafuta waisema yatashuku bei yanazidi kupaa, sukari bei usitaje, na mwezi wa Ramadhani unaanza dk yoyote kuanzia sasa mambo yanazidi... wasitudanganye hao