Chemsha ubongo

Chemsha ubongo

KAJICHO KIVULI

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
2,061
Reaction score
546
swaliiiiiiiii



kuna mtoto alikuwa analia juu ya kaburi alipoulizwa unalilia nini akajibu kaka wa mke wa maiti ni mjomba wangu......


Je maiti ni nani
 
Je, maiti ni nani?



Maiti ni kiumbe kilichoondokewa na uhai/kufa.
 
Maiti ni marehemu.

R.I.P Marehemu......🙁
 
swaliiiiiiiii



kuna mtoto alikuwa analia juu ya kaburi alipoulizwa unalilia nini akajibu kaka wa mke wa maiti ni mjomba wangu......


Je maiti ni nani
Maiti alikuwa ni mama yake ndo maana kakaake anaitwa mjomba.
 
Shemeji ya maiti

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ambaye pia ni baba ya mtoto anayelia.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom