Bado makosa yapo mengi sana
1. Hujazingatia MAGAZIJUTO
2. Umeshindwa kuona hiyo strawberry ya mwisho iko moja wakati kwenye huo mlinganyo wa tatu zipo mbili mbili
3. Hujaona strawberries zilizoshikwa mkononi
Wrong kwa sababu gani wakati hizo namba ukiziingiza kwenye equation unapata majibu sahihi??Namba iliwahi kudanganya??Unataka kuwa muongo kama CCM??!Ona hapa:
10+10+10=30
5+5+10=20
4+4+5=13
and hence,
10+5x4=30