Tuna
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,823
- 2,475
Oky sorry ni 30 bila chenga.
Oky sorry ni 30 bila chenga.
Ikibidi nitakesha hapaNaona umekomaa na chemsha bongo mpaka jibu lipatikane.
Haha hatari mkuu na mtoa mada hataki kutoa majibuMi nakuwa nakuja kuangalia nakuta wrong tu zinaendelea.
Amesema mpaka comments ziwe nyingi. Ukute yeye mwenyewe hana majibu.


hana jibu kwani we hujagundua?


Kwa maana hiyo na wewe hujui jibu 😂😂 basi kubali 28Mimi ntakuwa refa
Usjali natoa jibu si mudaAnatuchora tu.
Basi kila mmoja na jibu lake.