100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,167
Mimi pia tecno yangu imechemsha.
Jibu ni 28 boss achana na hizo wrong za mtoa madaMkipata jibu unitag tafadhali.




Kasema anatoa vocha ya buku tanoKwanza ukipatia unapewa nini? Maana tunahangaika ukute hakuna chochote.
Ukute sungura kameza vingine sisi tunahangaika na alivyoshika.




umenifanya niangue kicheko kwa nguvu