MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Hakuna kuku hata mmoja atayeangalia juu kwani kuku huangalia kushoto au kulia tu.Kuna kuku wa5 wanakula pumba,kisha ikapita ndege juu.je,macho mangapi ya kuku yataangalia juu?
Hakuna kuku hata mmoja atayeangalia juu kwani kuku huangalia kushoto au kulia tu.Kuna kuku wa5 wanakula pumba,kisha ikapita ndege juu.je,macho mangapi ya kuku yataangalia juu?
jogoo hatagi yaijogoo alitoka tanzania kwenda kenya alipofika mpakani mwa tanzania na kenya akataga yai litakuwa la kenya au tanzania
Wape watoto wanne chungwa moja moja,na mtoto wa tano mpe chungwa la tano pamoja na kikapu bila kulitoa chungwa kutoka kapuni.Au hii,una machungwa matano kapuni.kuna watoto watano wamekuzunguka na inabidi kila mmoja apate chungwa moja.Utawezaje kuwapatia kila mmoja chungwa moja na chungwa moja libaki kapuni?
macho matanoHakuna kuku hata mmoja atayeangalia juu kwani kuku huangalia kushoto au kulia tu.
Wanataga..jogoo hatagi yai
Wanataga..