Chemsha Bongo 001

Chemsha Bongo 001

CHEMSHA BONGO 006

1. Ni kitu gani kina uzito lakini hakionekani

2. Ni sayar ipi inajilikana kama Sayar nyekundu

3. Nini kinacho wezesha ndege kuruka angani

4. Ni metali ipi nyepesi zaidi kuliko zote
my people haya mkeka huu hapa:

1. Hewa

2. Mirihi [Mars]

3. Nguvu ya kuinua [lift] inayotokana na umbo la mbawa na hewa

4. Lithium
 
my people haya mkeka huu hapa:

1. Hewa

2. Mirihi [Mars]

3. Nguvu ya kuinua [lift] inayotokana na umbo la mbawa na hewa

4. Lithium
sasa we mwamba haujawahi acha hii "chemshwa" bongo yako? Hauoni watu hawataki kuliwa supu?
 
sasa we mwamba haujawahi acha hii "chemshwa" bongo yako? Hauoni watu hawataki kuliwa supu?
Watu wanaogopa kuonekana vilaza,hawajiamini, ni game na elimu pia

Natoa elimu kupitia chemsha bongo

Itaisha ikifika 100 halafu uzi unafungwa
 
CHEMSHA BONGO 007

1. Ni mwaka gani mfumo wa vyama vingi ulirudishwa hapa Tanzania na kwa njia ipi?

2. Ni chama kipi cha Siasa kilichopewa Usajili wa kudumu baada ya mfumo wa vyama vingi kurudishwa

3. Ni katiba ipi ilianzisha rasmi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

4. Ni idadi gani ya wabunge wakuteuliwa na Raisi inaruhusiwa kwa mujibu wa katiba?
 
CHEMSHA BONGO 007

1. Ni mwaka gani mfumo wa vyama vingi ulirudishwa hapa Tanzania na kwa njia ipi?

2. Ni chama kipi cha Siasa kilichopewa Usajili wa kudumu baada ya mfumo wa vyama vingi kurudishwa

3. Ni katiba ipi ilianzisha rasmi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

4. Ni idadi gani ya wabunge wakuteuliwa na Raisi inaruhusiwa kwa mujibu wa katiba?
Haya mkeka huu hapa:

1. Ni mwaka 1992 kupitia marekebisho ya 8 ya katiba ya mwaka 1977

2. NCCR -Mageuzi mapema mwaka 1992

3. Katiba ya Muungano ya mwaka 1964

4. Wabunge 10
 
CHEMSHA BONGO 008

1. Kiumbe gani pekee chaweza kujitengenezea chakula chenyewe?

2. Ni kiumbe gani kina ubongo mkubwa zaidi duniani

3. Kiumbe gani hukata sehemu ya mwili wake na kukua tena?

4. Ni ndege gani pekee anaweza kuruka kurudi nyuma [backward]
 
CHEMSHA BONGO 008

1. Kiumbe gani pekee chaweza kujitengenezea chakula chenyewe?

2. Ni kiumbe gani kina ubongo mkubwa zaidi duniani

3. Kiumbe gani hukata sehemu ya mwili wake na kukua tena?

4. Ni ndege gani pekee anaweza kuruka kurudi nyuma [backward]
Haya majibu haya hapa:

1. Ni mimea kupitia usanisinuru [photosynthesis]

2. Nyangumi wa kijivu

3. Kinyonga-ndege

4. Mjusi [hasa mkia wake]
 
CHEMSHA BONGO 009

1. Nini maana ya neno mfumuko wa bei?

2. Ni nini tofauti ya soko huria na soko linalo dhubitiwa

3. Nchi inayoagiaza bidhaa kwa wingi nje kuliko inavyouza,inakabiliwa na nini?

4. Iwapo bei ya bidhaa inapanda na mahitaji yanapungua,hii inaotwaje katika uchumi
 
CHEMSHA BONGO 009

1. Nini maana ya neno mfumuko wa bei?

2. Ni nini tofauti ya soko huria na soko linalo dhubitiwa

3. Nchi inayoagiaza bidhaa kwa wingi nje kuliko inavyouza,inakabiliwa na nini?

4. Iwapo bei ya bidhaa inapanda na mahitaji yanapungua,hii inaotwaje katika uchumi
haya majibu haya hapa:

1. Ni hali ambayo bei ya bidhaa na huduma kwa ujumla kwa kipindi fulani hupanda hivyo thamani ya pesa hupungua

2. Soko huria bei huamuliwa na nguvu ya soko (mahitaji na usambazaji)

soko linalothibitiwa bei na uzalishaji hudhibitiwa na serikali

3. Nakisi ya biashara (trade deficit)

4. Sheria ya mahitaji (law of demand)
 
CHEMSHA BONGO O10

1. Ni sehemu gani ya mmea inayo tengeneza chakula kwa kutumia mwanga wa jua

2. Ni nini kinacho sababisha umeme wa radi

3. Ni nini tuone mambo kwenye kioo

4. Ni nini hufanya vitu vizame na kuelea kwenye maji
 
Back
Top Bottom