Chemsha Bongo 001

Chemsha Bongo 001

Venus ni Sayar ya pili ambayo ipo karibu na jua

inajizungusha kwenye mhimili wake kwa siku 243 na kufanya siku yake kuwa ndefu kuliko mwaka wake

inalizunguka jua kwa siku 225 hivyo kuufanya mwaka uwe mfupi kuliko siku/day


Na inazunguka clockwise na hivyo kulifanya jua kuchomoza magharibi badala ya mashariki
 
Venus ni Sayar ya pili ambayo ipo karibu na jua

inajizungusha kwenye mhimili wake kwa siku 243 na kufanya siku yake kuwa ndefu kuliko mwaka wake

inalizunguka jua kwa siku 225 hivyo kuufanya mwaka uwe mfupi kuliko siku/day


Na inazunguka clockwise na hivyo kulifanya jua kuchomoza magharibi badala ya mashariki
Asante kwa majibu maan ilibaki kidogo niende nika gugo😂😂
 
CHEMSHA BONGO 002

Ingawa Chemsha bongo ni kama game lakini kuna elimu na ufahamu unapatikana ndani yake

1. Mossad ni shirika la kijasusi la Israele
2. CIA ni Shirika la kijasusi la Marekani
3. Je M16 ni Shirika la kijasusi la nchi gani?
3. Tutajie Mwanamapinduzi ambaye anaheshimika sana duniani,ameandikiwa vitabu vingi na kutengenezewa filamu nyingi
4. Namba 46664 ilikuwa ni namba ya mfungwa gani wa kisiasa?
 
CHEMSHA BONGO 002

Ingawa Chemsha bongo ni kama game lakini kuna elimu na ufahamu unapatikana ndani yake

1. Mossad ni shirika la kijasusi la Israele
2. CIA ni Shirika la kijasusi la Marekani
3. Je M16 ni Shirika la kijasusi la nchi gani?
3. Tutajie Mwanamapinduzi ambaye anaheshimika sana duniani,ameandikiwa vitabu vingi na kutengenezewa filamu nyingi
4. Namba 46664 ilikuwa ni namba ya mfungwa gani wa kisiasa?
Hii quiz hakuna aliyejaribu kuweka miguu

okay my people,,,,majibu haya hapa:

3. Shirika la kijasusi la M16 ni la Uingereza

4. Mwanamapinduzi mashuhuri ambaye ni maarufu mpaka leo hii na picha yake ipo duniani kote huyu hapa:

Jina kamili: Ernesto Guevara de la Serna

Alizaliwa: 14 Juni 1928, Rosario – Argentina

Alifariki: 9 Oktoba 1967, La Higuera – Bolivia

Kazi: Daktari, mwanamapinduzi, mwandishi, mwanajeshi


🌟 Safari yake

Alianza kama daktari lakini safari zake Amerika ya Kusini zilimfanya aone umaskini na ukosefu wa haki, jambo lililomsukuma kwenye siasa.

Akawa mshirika mkubwa wa Fidel Castro katika Mapinduzi ya Cuba (1959), yaliyomuondoa dikteta Fulgencio Batista.

Alishika nyadhifa mbalimbali serikalini Cuba: Waziri wa Viwanda, Rais wa Benki Kuu ya Cuba, na balozi wa kidiplomasia.

Alipigania mapinduzi katika nchi nyingine za Afrika na Amerika Kusini, akiamini ukombozi ni haki ya kila mtu maskini.

Mnamo 1967, alikamatwa na kuuawa na jeshi la Bolivia kwa msaada wa CIA.


🕊️ Urithi

Che Guevara alibaki kuwa alama ya mapambano dhidi ya ukandamizaji na nembo ya mapinduzi duniani.

Picha yake maarufu (iliyopigwa na Alberto Korda) imekuwa ishara ya vijana, wanaharakati, na wafuasi wa haki za kijamii.

Ameandikwa vitabu vingi na kufanyiwa filamu nyingi.

5. Namba 46664 ni ya marehemu Nelson Mandela wa Afrika Kusini
 
CHEMSHA BONGO 003

1. Ni baba wa fizikia alieanzisha nadhari ya Relativity, je anaitwa nani?

2. Alivumbua taa ya umeme (balbu) baada ya kufanya majaribio kwa mara 1000, je anaitwa nani?

3. Alipambania uhuru wa India kwa njia ya amani na kupata wafuasi wengi sana,anaitwa nani?

4. Ni mwanafalsafa wa Ugiriki na ni mwalimu wa Plato,anaitwa nani?

5. Mwanafalsafa wa China kafundisha juu ya maadili na heshima kwa wazazi, je anaitwa nani?

6. Mwanafalsafa wa Ujerumani ambaye alisema "Mungu kafa" na kujulikana kwa falsafa ya Ubinafsi mkuu, anaitwa nani?
 
Ndo Asili yake kuvipata. Umeliza How? Mi nakuuliza Why? Tunapata usiku na mchana
Nimeileta hii kwa ukubwa wake kwa faida ya wengine pia


🔄 1. Mzunguko wa Dunia

Dunia inazunguka katika mhimili wake (axis) mara moja kila baada ya takribani masaa 24.

Sehemu ya Dunia inayokabiliana moja kwa moja na jua hupata mchana.

Sehemu iliyo upande wa kinyume, isiyoona jua, hupata usiku.



---

🌍 2. Mhimili wa Dunia

Dunia haizunguki wima kabisa, bali imeinama kwa nyuzi 23.5.

Mwinamo huu husababisha pia misimu na mabadiliko ya urefu wa mchana na usiku katika sehemu tofauti za dunia.



---

☀️ 3. Mchana na Usiku kwa mfano

Fikiria taa (jua) inamulika mpira (dunia).

Sehemu inayoangaziwa na taa ni mchana, na sehemu iliyoko kivulini ni usiku.

Mpira unapozunguka, sehemu zilizoko gizani hubadilishana na zile zenye mwanga – hivyo tunapata usiku na mchana mfululizo.



---

📖 Dalili ya Qur’an

Allah anasema:

“Yeye ndiye aliyeumba usiku na mchana, na jua na mwezi. Vyote vinaelea katika mzunguko wake.”
(Surah Al-Anbiya 21:33)
 
📖 Dalili ya Qur’an

(Surah Al-Anbiya 21:33)
(Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko(firasha) , na mbingu kama paa, na akateremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo akatoa matunda yawe riziki zenu. Basi msimfanyizie Mwenyezi Mungu washirika, na hali nyinyi mnajua.
(22 Al Baqarah)
 
(Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko(firasha) , na mbingu kama paa, na akateremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo akatoa matunda yawe riziki zenu. Basi msimfanyizie Mwenyezi Mungu washirika, na hali nyinyi mnajua.
(22 Al Baqarah)
Tandiko hapa haimaanishi kwamba ardhi ni flat,kama umeileta aya hii kama hoja yako

Ila tandiko ni ili tustarehe kwenye ardhi kama hivi tunakaa pasina kuyumbishwa na ardhi na molima ikawa vigingi vya kuifanya ardhi isitembee

Ni kama mfano wa zuria ambalo huwa tunalitandika kisha tunastarehe,ndio mfano wa ardhi vile vile
 
Tandiko hapa haimaanishi kwamba ardhi ni flat,kama umeileta aya hii kama hoja yako

Ila tandiko ni ili tustarehe kwenye ardhi kama hivi tunakaa pasina kuyumbishwa na ardhi na molima ikawa vigingi vya kuifanya ardhi isitembee

Ni kama mfano wa zuria ambalo huwa tunalitandika kisha tunastarehe,ndio mfano wa ardhi vile vile
Hapa Kuna vitu vingi.
Mbingu kama paa (Lazima paa liwe na support structure )
Sijui swala la starehe umeliunganisha vipi na firasha, na Aya inazungumzia matunda ya rizki(agricultural landscape).
 
Hapa Kuna vitu vingi.
Mbingu kama paa (Lazima paa liwe na support structure )
Sijui swala la starehe umeliunganisha vipi na firasha, na Aya inazungumzia matunda ya rizki(agricultural landscape).
Je mbingu ina support structure?
 
My people hope mko poa

1. Ni Sayar gani ambayo siku yake ni ndefu kuliko mwaka wake?

2. Ni Sayar gani ambayo jua linachomoza magharibi na kutua mashariki

3. Ni sayar gani ambayo inazunguka clockwise kinyume na Sayar zote

Ni hayo tu!

HAYA YANA MSAADA GANI MTU AKIJUA AMBAYE HAHUSIKI NA HIYO SAYANSI? NI UPUUZI TU.
 
My people hope mko poa

1. Ni Sayar gani ambayo siku yake ni ndefu kuliko mwaka wake?

2. Ni Sayar gani ambayo jua linachomoza magharibi na kutua mashariki

3. Ni sayar gani ambayo inazunguka clockwise kinyume na Sayar zote

Ni hayo tu!
Hatuna mda wa kupoteza akili mnemba anasema ni...

1. Sayari gani ambayo siku yake ni ndefu kuliko mwaka wake?
➡️ Mercury (Mirihi ya karibu na jua) — siku moja kamili ya Mercury (rotation) huchukua siku 59 za duniani, lakini mwaka wake (mzunguko kuzunguka jua) ni siku 88 za duniani.
Kwa hivyo Mercury inakaribia kuwa na siku ndefu sana, ila jibu sahihi zaidi ni Venus – kwa sababu siku yake (rotation = ~243 siku za duniani) ni ndefu kuliko mwaka wake (mzunguko = ~225 siku).

Jibu: Venus.


---

2. Sayari gani ambayo jua linachomoza magharibi na kutua mashariki?
➡️ Hii hutokea kwa sababu sayari hiyo inazunguka kwenye mhimili wake kinyume na mwelekeo wa sayari zingine.
Ni Venus, ambayo inazunguka retrograde (yaani clockwise).

Jibu: Venus.


---

3. Sayari gani ambayo inazunguka clockwise (retrograde rotation) kinyume na sayari zote?
➡️ Sayari zote isipokuwa mbili huzunguka counter-clockwise (prograde). Zilizopo tofauti ni:

Venus (clockwise rotation)

Uranus (imepinduka kwa mhimili kwa nyuzi ~98°, hivyo inaonekana kama inazunguka “ubavu”).


Jibu kuu: Venus (na pia Uranus ina tabia maalum).


---

👉 Kwa ufupi majibu ni:

1. Venus


2. Venus


3. Venu
s (na Uranus pia ina tabia ya kipekee).
 
Back
Top Bottom