Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
mkuu ukinikopesha 10,000 halafu nikaahirisha na kusema nipe 7000 na kurudisha elfu tatu deni si linakuwa 7000. sasa we umerudisha mia mbili deni si linakuwa 9800, mia yako plus 9700 ya nguo. yaani deni ni ile hela uliyoenda kutumia sio miambili uliyo rudisha. NB ukimlipa mtu hela aliyo kukopesha bila kuitumia ni sawasawa na haukukopa