tomjelly
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 560
- 197
Hakuna nani wala nani wote CHOONI!, Uwe maskini au tajiri wote CHOONI!, Hakuna umashuhuri wala nini wote CHOONI!, Uwe Raisi au Mbunge wote CHOONI!, Uwe Sharo au Hardco wote CHOONI, Uwe maarufu kama mtoto wa baba Bene au si maarufu kama wewe wote CHOONI!. Asante Mungu kwa kuonesha Maajabu yako ya USAWA, Hakuna MIMI wala WEWE unayesoma hapa, wote CHOONI!, Kama umeenda chooni kausha, Ila kama hujaenda FUNGUKA!