sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Babu mmoja alikuwa akivuka barabara,ghafla akagongwa na baiskeli akazimia,wasamalia wema wakamweka kando ya barabara,mpita njia akasema "mnunulieni maziwa "Gafla yule babu akasema na bagia za 300/=............
teheeeeeeeeeeee teheeeeeeeeeeeeeeee..............
teheeeeeeeeeeee teheeeeeeeeeeeeeeee..............