Cheka kidogo

Wanawake ndo walivyo hawajui wanataka nini
 
Namkunguta mkono. Nakumpiga jicho kali sana. Hatorudia tena.
 
Utakuwa MURAA wewe!

Hapana mimi wa kabila lingine kabisa. Ni vile sitaki mchezo. Ale chake kama hajashiba aseme, nitanunua kingine. Ishanitokea, kudokolewa mishkaki yangu kwa kuwa ni mingi na yeye kaagiza miwili tu wakati nilimuambia agizia chochote. Nikaita muhudumu nikamwmbia mpe mishkaki kumi huyu. Ili aache kula ya kwangu.
 

Hahahahaaaaaaa hahahahaaaaaaa hahaaa
 

Haaa haa haaa we kiboko ungenifanyia mimi hivo siku hiyo hiyo ndo ingekuwa bye bye!...see mi na tabia hii lakini sio kama namdokolea lahasha! Jus show love to him, kuwa tuko pamoja! We inaonekana hujui hata kubembeleza/ kubembelezwa utakimbiwa coz wanawake wanapenda kudeka sana shauri yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…