Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
so far ni htc explorer ndo kazuri na bei ndogo take ur time google
Mkuu chief-mkwawa hiyo simu kuna jamaa yangu anayo yaani some places haishiki 3G kabisaaa wakati mchina wangu unashika na tunatumia mtandao mmoja
Ah ts very cheap
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
jaman nlikua naptia web flan ya androisds nkakuta t mobiles pamoja na huawei wana taka kuachia androids for only 19.99$ . That will be the cheapest androids ila ndo hvyo im not sure kama hawa T-mobile wanafanya kaz na tanzania bofya hapa
Nurbert ukiskia 19.9 hio ni locked kwa miezi 6 so unazidisha mara 6 itakua kama 180 usd.
Ni kama wanavosema lumia 900 ni 49.9 au samsung galaxy s3 ni 99.99usd
so chief baada ya miezi 6 inakua unlocked??
kuna sehemu zingine hadi miezi kumi na mbili au 24,Nafkiri ndio inakua unlocked mkuu (naguess tu) maana mkataba ni miezi 6
kuna sehemu zingine hadi miezi kumi na mbili au 24,
ukishamaliza sasa hapo simu hiyo hulipi hela ya mwezi na wao hawakupi offer wala service yeyote juu ya hiyo simu kama matengenezo,unakuwa mteja wa kawaida tu
Nurbert ukiskia 19.9 hio ni locked kwa miezi 6 so unazidisha mara 6 itakua kama 180 usd.
Ni kama wanavosema lumia 900 ni 49.9 au samsung galaxy s3 ni 99.99usd
Nafkiri ndio inakua unlocked mkuu (naguess tu) maana mkataba ni miezi 6
Anavomaanisha ningar ni kua baada ya huo mda kupita je unaweza kueka line nyengine? Haiwi locked tena?
Jamani naomba mnisaidie, ninunue cm gani nzuri yenye uwezo mzuri wa internet na iwe na os ya android. Jaribu kutofautisha na bei ikiwa ni pamoja na picha kama inawezekana na mahali nakoweza ipata mie niko mikoani.
Kwanini unasisitiza simu ambazo OS yake ni android. Mbona ume exclude iphone na zingine zisizo za android?
Kwa sababu os yake sio proprietary. Unaweza kufanya vitu kama rooting.
ya kwako ni symbian os bora ambayo nokia ameitupa so imebaki yatimamkuu naomba unieleze tofaut kati ya symbian na android! Mie yangu ni Nokia E75 inatumia os ipi kati y izo