Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,783
- Thread starter
- #41
Kuna ideos android froyo ...@ 120,000 zipo samsung pocket+ mini..... don forget tecno t1 etc.... hizo bei ndogo sana checkout gsmarena
zipost basi wengine wafaidike
Kuna ideos android froyo ...@ 120,000 zipo samsung pocket+ mini..... don forget tecno t1 etc.... hizo bei ndogo sana checkout gsmarena
Mwenye SAMSUNG GALAXY ACE duos GSM (GT- S6802)... With 832 mHz na 512 RAM
Give me da price
one of my buddies got t for 180K kwenye samsung shop juz 2
kaka izo bei ni za kweli nkutafuteKwa jamii yetu ya kitanzania uelewa wa android umekua mdogo sana na siku zote watu wanafikiria simu hizi ni za bei ghali nimeandika makala hii ya kuzichambua simu za android za bei rahisi.
Pia jamii yetu bado haijazipokea simu za touch screen ikiwemo mimi (msinione mshamba) kwa hiyo ntaanza kuelezea simu za android za bei rahisi zenye button(qwerty).
motorolla fire xt311
perfomance: ram 256mb processor 600mhz
picha na video: camera 3.15 megapixel na secondary camera haina video inachukua 480p
special inaingia line 2
makadirio ya bei: kuanzia 180,000 mpaka 250,000
LG Optimus Pro C660
perfomance: storage 150 ram 256 processor 800 mhz
picha na video: camera ni 3.15 mp secondary camera hamna na video 480p
makadirio ya bei: ni 200,000 mpaka 300,000
samsung galaxy pro series
Hapa nimezigroup samsung nyngi kama
-Samsung Galaxy M Pro B7800
-Samsung Galaxy Y Pro B5510
-Samsung Galaxy Pro B7510
Ni simu ambazo zinakaribia kufanana na hizo hapo juu kasoro m pro ipo advanced kidogo bei zinarange 200,000 mpaka laki 3.
Baada ya kutoka preference yangu ya qwerty sasa tuje kwa wazee wa kugusa na kuslide (touch screen phones) wao pia wana cheap devices kama zifuatazo.
htc explorer (pico)
perfomance:storage 90mb ram 512mb na processor 600mhz
picha na video: 3.15 megapixel haina secondary camera video ni 480p
makadirio ya bei: 200,000 mpaka 250,000
lg optimus net
perfomance:storage 150mb ram 512mb na processor 800mhz
picha na video:3.15 megapixel no secondary video 480
makadirio ya bei: 200,000 hadi 300,000
samsung galaxy vidogo
Hapa najumuisha simu zifuatazo
-Samsung Galaxy Y Pro Duos
-Samsung Galaxy Fit S5670
Hio duo ni double line zote zinafanania na wenzao juu ila galaxy fit ina 5mp
Bei pia zinafanania
muhimu
-storage ni memory ya simu unaweza expand memory kwa kutumia memory card hadi 32gb
-simu zote hapo juu ni android Gingerbread 2.3 na kama ni froyo utaweza i upgrade
-naweza kua nimekosea sehemu nirekebishe ili niweze ku update thread
kaka izo bei ni za kweli nkutafute
mkuu Hizo sim zako mbona ujaandika version ya OS zake ...
nokia 3210
nokia 3210
Kama unahitaji simu bomba ya android, nunua SAMSUNG GALAXY S au S2 au S3. You wont regret. Ila kauwezo kawepo.