Cheap android phones unazoweza kununua

Cheap android phones unazoweza kununua

Tecno-T1-Mobile-phones.jpg Na angeza simu ya Techno T1 nayo ina spec nzuri na bei nafuu kwa kiwango cha uwezo wake.kujua spec zake nenda Tecno Telecom Limited.
nillisha wahikuikuta dukani kwa kali 2.5
 
thnx but chief achaga uchoyo bna.
user-online.png
chief-mkwawa

17th August 2012 11:58
#1
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 25th May 2011

Posts : 1,415

Rep Power : 719

Likes Received:372

Likes Given:0





 
thnx but chief achaga uchoyo bna.
user-online.png
chief-mkwawa

17th August 2012 11:58
#1
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 25th May 2011

Posts : 1,415

Rep Power : 719

Likes Received:372

Likes Given:0






Mkuu post zangu za jf pamoja na coments zoooooootee natuma na opera mini kwenye simu yangu feature ya like haipo thats why unaona hivo. One day ntapitia pitia kwenye my pc nilike na mimi
 
Mkuu post zangu za jf pamoja na coments zoooooootee natuma na opera mini kwenye simu yangu feature ya like haipo thats why unaona hivo. One day ntapitia pitia kwenye my pc nilike na mimi

heheh jus teasing ya hope ntakua wa kwanza kupokea like hio
 
ni kweli kaka afadhali uwaelezee kidogo watanzania wafunguke macho sabab tunaamia kwenye portability ya vitu na vitu kama desktops pc zitaisha kadri science inavyoendelea
 
mfano ni hii tablet it inakimbizana karibia na pentium 4 or 3 laptop
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1345372012505.jpg
    uploadfromtaptalk1345372012505.jpg
    8.4 KB · Views: 445
jamani nimepewa phone na jamaa yangu toka US imeandikwa Google tm nashindwa itumia,na pia ina 2g,3g,na 4g vipi naweza ienjoy vipi wadau maana 7bu kubwa ya kuipata hii ni jukwaa hili.
 
Mkuu post zangu za jf pamoja na coments zoooooootee natuma na opera mini kwenye simu yangu feature ya like haipo thats why unaona hivo. One day ntapitia pitia kwenye my pc nilike na mimi

Pole mkuu, hata mimi ninatatizo kama hilo, jamani jf.kwenye simu with opera ipo easy!
 
thnx but chief achaga uchoyo bna.
user-online.png
chief-mkwawa

17th August 2012 11:58
#1
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 25th May 2011

Posts : 1,415

Rep Power : 719

Likes Received:372

Likes Given:0






Hili hata mm huwa nalishangaa! Kwahyo hata jokes hajawah kulike? Teh teh teh teh teg..
 
Mkuu post zangu za jf pamoja na coments zoooooootee natuma na opera mini kwenye simu yangu feature ya like haipo thats why unaona hivo. One day ntapitia pitia kwenye my pc nilike na mimi

Mkuu lakini hata katika hiyo simu ya mkononi ya opera mini OS unaweza kulike! Ukiweka jf yako katika Desktop mode utaona kitufe cha like! Au unaona usumbufu kubadilisha badilisha mode labda?
 
Mkuu lakini hata katika hiyo simu ya mkononi ya opera mini OS unaweza kulike! Ukiweka jf yako katika Desktop mode utaona kitufe cha like! Au unaona usumbufu kubadilisha badilisha mode labda?

Mkuu ipo version ya simu i will never use desktop unless waitoe ya simu. Natumia sana jf many pms, na kubrowse sana ni usumbufu kutumia desktop version
 
Mkuu ipo version ya simu i will never use desktop unless waitoe ya simu. Natumia sana jf many pms, na kubrowse sana ni usumbufu kutumia desktop version

On top of that! Kwenye cmu ukiweka desktop huwez kuandka. Utakua unalike tuu. Xo if kulike muhmu kulko kundika inawezekana
 
Kuna ideos android froyo ...@ 120,000 zipo samsung pocket+ mini..... don forget tecno t1 etc.... hizo bei ndogo sana checkout gsmarena
 
JF wana android app iko playstore ni balaa ina option almost zote.... na iko fasta...
 
Back
Top Bottom