PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

CHAUMMA inapokea wanachama wapya wakati huu kutoka G55


View: https://www.youtube.com/live/F2vujXgaQ8I?si=JXMwKc7Puisgjq6K

1747662988660.png


Catherine Ruge, Mrema na wengine baada ya kupewa kadi ya uanachama wa CHAUMMA na kuwa wanachama rasmi wa chama hicho, waandishi wa habari wametoka nje kuwapisha CHAUMMA kufanya kikao cha ndani.
 
Back
Top Bottom