Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Inadaiwa tangu vurugu za kuchoma moto kituo cha polisi Muganza zitokee paranja lilipita na kamata kamata ikafanyika. Viongozi wa Chadema inasadikiwa walishawishi wananchi kufanya vurugu.
Wanasota rumande wamenyimwa dhamana. Leo hii zaidi ya wiki na na siku kadhaa wameshonwa nyavuni
Mbowe yupo kimya.
Hizi siasa hazifai.
Wanasota rumande wamenyimwa dhamana. Leo hii zaidi ya wiki na na siku kadhaa wameshonwa nyavuni
Mbowe yupo kimya.
Hizi siasa hazifai.