Chatgpt kiboko ase

AI inakuja kuharibu akili za kila mmoja, majuzi alikuja dogo wa Darasa la 5 na homework kaniomba simu amuulize maswali ChatGPT 🀣
Mimi juzi nilimkuta binti yangu anachat na chatgtp anamuuliza why is my kom so angry sometimes,

Nilisoma baadhi ya majibu, jibu moja chatgtpt akamwambia may be your mom is on her period
 
Mimi juzi nilimkuta binti yangu anachat na chatgtp anamuuliza why is my kom so angry sometimes,

Nilisoma baadhi ya majibu, jibu moja chatgtpt akamwambia may be your mom is on her period
Weka mbsli ba watoto mtoto wako ame mjuaje? Guys msiwape watoto simu
 
Weka mbsli ba watoto mtoto wako ame mjuaje? Guys msiwape watoto simu
Aliniomba simu ampigie classmate wake, alikua amesahau kitabu shuleni kwa hiyo alikua anawasiliana na wenzake wampigie picha page za homework, sasa nikamsema sana nikataka kumzibua kwamba kwa nini amesahau kitabu shuleni, then nikapa simu, ndio nikakuta anamuuliza chatgtp kwa nini mama ana hasira sana

Siku nyingine nikakuta anamuuliza eti niende shule gani form one?
 
Mtoto simu yako hatakiwi kugusa mimi sitaki mazoea na mtoto kwenye simu simu ina mambo mengi mtu ana weza kosea tuma ujumbe ukaja kwangu bahati mbaya mtoto akauona aka beba kama ulivyo simu sio mzuri
 
Mtoto simu yako hatakiwi kugusa mimi sitaki mazoea na mtoto kwenye simu simu ina mambo mengi mtu ana weza kosea tuma ujumbe ukaja kwangu bahati mbaya mtoto akauona aka beba kama ulivyo simu sio mzuri
Ni kweli,ila mimi sipendi sana kuficha simu yangu, cha msingi ni kuwafundisha kuwa na adabu na mipaka, na huwa siweki simu yangu passowrd, kuna wakati nawaagiza kununua Umeme,kulipa bills, kunrewuest bolt, na vitu vingine vya msingi, lengo ni kuhakikisha hata nikiwa nimebanwa au nikiwa sipo wanaweza kufanya mambo ya msingi kwenye simu maana kuna leo na kesho
 
Ohh sawa
 
Limemalizia kuniita mimi mmbea wa ki mataifa bila umbea wangu kunapoa 😹😹😹
Kesi yangu na chat ishakua nzito..!!
 

Attachments

  • IMG_5567.jpeg
    284.9 KB · Views: 10
Kweli kabisa mkuu,wosia mzuri umetoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…