Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Nakuwaza sana mlimbwende, hayapatikani majibu
Ni kwanini usinipende,sipati sababu
kukupenda wewe katu sitakoma,CL unanipagawisha
Nimejaribu kukuforget,ndio kwanza nakuwaza
Ingawaje kanishauli Judgment, kukoma kukupenda katu sitoweza
kukupenda wewe katu sitokoma,CL unanipagawisha.
Nipo napambana kwa umoja, St. Paka Mweusi akiongoza
Letu lengo ni moja,kwa pamoja tutaweza
kukupenda wewe katu sitokoma,CL unanipagawisha
karibu uwe mpenzi wangu, maishani tupeane hamu
Achana na house boy wangu,njoo nikupe utamu.kukupenda wewe katu sitokoma,CL unanipagawisha
Ni kwanini usinipende,sipati sababu
kukupenda wewe katu sitakoma,CL unanipagawisha
Nimejaribu kukuforget,ndio kwanza nakuwaza
Ingawaje kanishauli Judgment, kukoma kukupenda katu sitoweza
kukupenda wewe katu sitokoma,CL unanipagawisha.
Nipo napambana kwa umoja, St. Paka Mweusi akiongoza
Letu lengo ni moja,kwa pamoja tutaweza
kukupenda wewe katu sitokoma,CL unanipagawisha
karibu uwe mpenzi wangu, maishani tupeane hamu
Achana na house boy wangu,njoo nikupe utamu.kukupenda wewe katu sitokoma,CL unanipagawisha
Last edited by a moderator: