charminglady kafiwa na bibi yake!

hali zenu, nasikitika kuwataarifu kuwa nimefiwa na bibi yangu. nipo safarin kuelekea msiban. please prayer for me guys. . . .

Poleni sana na Mwenyezi Mungu awape ni faraja, awatunze katika kipindi hiki.
Granny is at peace, with the angels! Just thank the Lord for his work!
R.I.P Bibi!
 
Pole sana Charminglady kwa msiba, Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana wa kwetu! Mungu awajalie roho ya ushujaa katika kipindi hichi cha msiba!
 
Most devastating moments in life, under this sun!
You know what, God created low moments in life just to remind us of his mighty powers and greatness! In times like this, u will remember or just mention his glorious name, no way!
Pole rafiki, tuko pamoja katika tukio hili kuu la kuondokewa na bibi yetu tuliyempenda sana.
Kilichobaki kwetu kwa sasa ni kusema AMEEN!
RIP BIBI.
 
asanteni sana wapendwa kwa sala zenu. nimefika salama thou nimechelewa mazish kidogo.
 
Back
Top Bottom