na bado hajabuni we subiri mwaka wake huu!!!!
Muda wa kuniandalia msosi wafanya nini barazan huku,
Shem mbona unakua mkali hivyo lol
hakika wewe una stahili kupendwa, kwa kweli una moyo mgumu sana.
Katavi aliniachia hiyo dili ya radi kama kazi njoo kwenye meza ya makubaliano.
mh huyo si wa kukata tamaa leo wala kesho
kosa lako ulimpa msosi uliopikiwa kwa maji ya mochwale,sijui wns utambeba na mbeleko gani,he is smitten!duh, mtu huyu ana limoyo ligumu ka nini lolest. . . Katavi wapi wewe, hebu nifanyie mpango wa kupatd walau radi 2 make nshachoka mpaka maini!!!!!
wakati ndio sasa umerogwa na alie kuroga kafa... mke wangu charminglady karibu anajifungua naomba usimsumbue, muulize mwizi mwenzio Erickb52 kilichompata huko mwanza
unamsifia mwenzio moyo mhumu badala ya kumhurumia na kumwombea aondokane na uzombie?
Pamoja na uzombie wake ila ana jitahidi kupenda. Ila nta muombea haachane na uzombie!
nimestuka jaman nimeshtuka uuwiiii yan nkasema huyu mtu kapatwa na nin tena amaa kumbe kichwa tuu cha habari
shost jana ulikuwa wapi, tumewatafuta kweli we na mmeo jg hampatikani. cjui mlijificha wapi. tulikuwa na Erickb52a. Elizabeth Dominic na mie. ninyi tu ndo mlimiss yan ilikuwa full shangwe!!?!!
Si kweli network ilikua fresh na hatukuzima simu wala kujificha labda ilikua special kwenu mama next time tuu kitahappen mbona tuombe uzima