Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,450
Leo PAC wamethibitisha kijiita PhD sio jambo la kitoto na ndio wazir wa kwanza kutuhumiwa na bunge kwa ufisadi,Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.
Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.
Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.
Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Daima macho ya Wapumbavu hawaioni busara ya mjinga.
Uliamua kuzinga halafu unwambia mtu akabutue, sasa ni zamu yetu kuzinga tunaona wote mnaobutua kopo la komborela.
Wabunge wasipokutumbua tutawatumbua sisi even its a matte of 2020